Uingereza ni mji wa Marekani

Uingereza ni mji wa Marekani

SaaMbovu

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2013
Posts
6,027
Reaction score
5,344
Habari wana JF.
Ndio. Uingereza ni mji wa Marekani.
Jinsi nilivyoanza unaweza kusema kwanini hili sikupeleka jukwaa la Utani. La bali ni masikitiko yangu tu hasa katika swala la Elimu hapa kwetu Tanzania.
Nilikuwa na kijana mmoja tumetulia sehemu mmoja hivi tukisikiliza muziki radioni na ilipofika muda wa habari ilibidi ni badilishe kituo kingine cha radio. Yule kijana akahamaki kwanini nabadilisha wakati muziki ulikuwa mzuri. Nikamjibu tusikilize habari tujue nini kinaendelea duniani.
Katika habari hiyo Uingereza na Marekani zilitajwa.
Baada ya kutajwa huko yule kijana ambaye alimaliza kidato cha 4 mwaka 2012 akauliza mbona mie hapo sielewi kuhusu Uingereza na Marekani. Huelewi nini? nilimuuliza. Akasema "Uingereza na Marekani mbona ni nchi moja yani kama Dar es Salam na Tanzania, Uingereza ni mji na Marekani ni nchi na zipo bara la Ulaya"
Nilifikiria mengi nikajua hiki ndio kizazi cha BONGO FLAVA & MOVIE. Nilichofanya nilimfafanulia akawa kaelewa.
Baada ya hapo nikawa najiuliza juu ya vijana wetu na nikasema hebu nifanye uchunguzi kwa vijana kumi tu ambao wamemaliza kidato cha 4 mwaka jana na juzi na swali lilikuwa hilohilo moja juu ya Uingereza na Marekani.
Vijana na majibu yao:

1. Marekani ipo Uingreza na zipo Bara la Asia

2. Hiyo ni Nchi moja ya Marekani sema Uingereza ni mji wao ndio ambao unaongea sana Kiingereza na Marekani wote wakawa wanaongea hiyo Lugha.

3. Achana na mimi bwana hiyo nchi itanisaidia nini mie sijui lolote niache kusaka maisha tena unanirudisha shule.

4. Marekani ndio nchi na uingereza ni mji wake na ndio maana sijawahi kusikia RAIS wa Uingereza bali huwa nasikia RAIS wa Marekani.

5. Kwakweli mie sijui chochote.

6. Zote ni nchi na zote zipo Bara la ULAYA.

7. Kamuulize Kikwete ndio huwa anasafiri sana kwenda huko Marekani.

8. Mie ninachojua Uingereza ipo Ulaya na Marekani ipo America ya kusini.

9. Umenidharau kaka mpaka unaniuliza hivyo. Marekani ni nchi na Uingereza ni nchi. Uingereza ipo Ulaya na Marekani ipo Marekani ya Kaskazini. Marekani ina Rais kwakuwa inatumia serikali ya kidemokrasia na uingereza serikali ya kifalme na ndio maana ina Malkia Elizabeth.
Hahaaa unanidharau hebu nipe tano bro.

Nikawa nimemaliza kwa hao 9 ukijumlisha na yule mwingine akawa wa 10.
Kiukweli binafsi niliwaza mengi sana juu ya vijana wetu wengi hata ule uelewa tu wa kawaida hawana hususani wale waliomaliza kidato cha 4. Ukianglia hapo asilimia 90% hawaelewi chochote. Mie shule ya msingi niliyo soma miaka hiyo kulikuwa na ATLAS ambacho kilikuwa kitabu kizuri sana cha kuonyeha ramani za nchi mbalimbali na Tabia za Nchi. Hapa suala kuu siyo kujua sehemu ila uelewa.

Wanafunzi, Serikali na Walimu Wake, Wazazi na Wadau mbalimbali TUAMKE jamani elimu ipo pabaya sana.

Asanteni.
 
KAKA mimi n mwalimu naomba nifanye uchunguzi juu ya usa na uk hapa shulen kwangu nitachukua sample kwa kila drs form 1 to frm 4 alaf ntakuja na jibu hapa!
 
Habari wana JF.
Ndio. Uingereza ni mji wa Marekani.
Jinsi nilivyoanza unaweza kusema kwanini hili sikupeleka jukwaa la Utani. La bali ni masikitiko yangu tu hasa katika swala la Elimu hapa kwetu Tanzania.
Nilikuwa na kijana mmoja tumetulia sehemu mmoja hivi tukisikiliza muziki radioni na ilipofika muda wa habari ilibidi ni badilishe kituo kingine cha radio. Yule kijana akahamaki kwanini nabadilisha wakati muziki ulikuwa mzuri. Nikamjibu tusikilize habari tujue nini kinaendelea duniani.
Katika habari hiyo Uingereza na Marekani zilitajwa.
Baada ya kutajwa huko yule kijana ambaye alimaliza kidato cha 4 mwaka 2012 akauliza mbona mie hapo sielewi kuhusu Uingereza na Marekani. Huelewi nini? nilimuuliza. Akasema "Uingereza na Marekani mbona ni nchi moja yani kama Dar es Salam na Tanzania, Uingereza ni mji na Marekani ni nchi na zipo bara la Ulaya"
Nilifikiria mengi nikajua hiki ndio kizazi cha BONGO FLAVA & MOVIE. Nilichofanya nilimfafanulia akawa kaelewa.
Baada ya hapo nikawa najiuliza juu ya vijana wetu na nikasema hebu nifanye uchunguzi kwa vijana kumi tu ambao wamemaliza kidato cha 4 mwaka jana na juzi na swali lilikuwa hilohilo moja juu ya Uingereza na Marekani.
Vijana na majibu yao:

1. Marekani ipo Uingreza na zipo Bara la Asia

2. Hiyo ni Nchi moja ya Marekani sema Uingereza ni mji wao ndio ambao unaongea sana Kiingereza na Marekani wote wakawa wanaongea hiyo Lugha.

3. Achana na mimi bwana hiyo nchi itanisaidia nini mie sijui lolote niache kusaka maisha tena unanirudisha shule.

4. Marekani ndio nchi na uingereza ni mji wake na ndio maana sijawahi kusikia RAIS wa Uingereza bali huwa nasikia RAIS wa Marekani.

5. Kwakweli mie sijui chochote.

6. Zote ni nchi na zote zipo Bara la ULAYA.

7. Kamuulize Kikwete ndio huwa anasafiri sana kwenda huko Marekani.

8. Mie ninachojua Uingereza ipo Ulaya na Marekani ipo America ya kusini.

9. Umenidharau kaka mpaka unaniuliza hivyo. Marekani ni nchi na Uingereza ni nchi. Uingereza ipo Ulaya na Marekani ipo Marekani ya Kaskazini. Marekani ina Rais kwakuwa inatumia serikali ya kidemokrasia na uingereza serikali ya kifalme na ndio maana ina Malkia Elizabeth.
Hahaaa unanidharau hebu nipe tano bro.

Nikawa nimemaliza kwa hao 9 ukijumlisha na yule mwingine akawa wa 10.
Kiukweli binafsi niliwaza mengi sana juu ya vijana wetu wengi hata ule uelewa tu wa kawaida hawana hususani wale waliomaliza kidato cha 4. Ukianglia hapo asilimia 90% hawaelewi chochote. Mie shule ya msingi niliyo soma miaka hiyo kulikuwa na ATLAS ambacho kilikuwa kitabu kizuri sana cha kuonyeha ramani za nchi mbalimbali na Tabia za Nchi. Hapa suala kuu siyo kujua sehemu ila uelewa.

Wanafunzi, Serikali na Walimu Wake, Wazazi na Wadau mbalimbali TUAMKE jamani elimu ipo pabaya sana.

Asanteni.

duuh...!hapa tatito lipo kwa nani walimu, wazazi, wanafunzi au serikali
 
Napata mashaka hao uliowauliza ni watu waliomaliza kidato cha nne kweli au walikimbia umande wakiwa darasa la nne?!

Lakini jambo moja ambalo halina ubishi vijana hawapendi mambo ya taarifa za habari wala kusoma magazeti yenye
habari na hoja ambazo sio za kimichezo na burudani.
 
KAKA mimi n mwalimu naomba nifanye uchunguzi juu ya usa na uk hapa shulen kwangu nitachukua sample kwa kila drs form 1 to frm 4 alaf ntakuja na jibu hapa!

Naomba ufanye mkuu. Utuletee na majibu.
 
Napata mashaka hao uliowauliza ni watu waliomaliza kidato cha nne kweli au walikimbia umande wakiwa darasa la nne?!

Lakini jambo moja ambalo halina ubishi vijana hawapendi mambo ya taarifa za habari wala kusoma magazeti yenye
habari na hoja ambazo sio za kimichezo na burudani.

Usiwe na mashaka mkuu. Maana hata matangazo yanayohusu elimu utasikia wengi wanasema mtoto kaingia sekondari wakati hajui kusoma. Ni ukweli kabisa.
Kama kuhusu habari wengi wanakuambia mie nisikilize habari nimekua mzee.
 
Habari wana JF.
Ndio. Uingereza ni mji wa Marekani.
Jinsi nilivyoanza unaweza kusema kwanini hili sikupeleka jukwaa la Utani. La bali ni masikitiko yangu tu hasa katika swala la Elimu hapa kwetu Tanzania.
Nilikuwa na kijana mmoja tumetulia sehemu mmoja hivi tukisikiliza muziki radioni na ilipofika muda wa habari ilibidi ni badilishe kituo kingine cha radio. Yule kijana akahamaki kwanini nabadilisha wakati muziki ulikuwa mzuri. Nikamjibu tusikilize habari tujue nini kinaendelea duniani.
Katika habari hiyo Uingereza na Marekani zilitajwa.
Baada ya kutajwa huko yule kijana ambaye alimaliza kidato cha 4 mwaka 2012 akauliza mbona mie hapo sielewi kuhusu Uingereza na Marekani. Huelewi nini? nilimuuliza. Akasema "Uingereza na Marekani mbona ni nchi moja yani kama Dar es Salam na Tanzania, Uingereza ni mji na Marekani ni nchi na zipo bara la Ulaya"
Nilifikiria mengi nikajua hiki ndio kizazi cha BONGO FLAVA & MOVIE. Nilichofanya nilimfafanulia akawa kaelewa.
Baada ya hapo nikawa najiuliza juu ya vijana wetu na nikasema hebu nifanye uchunguzi kwa vijana kumi tu ambao wamemaliza kidato cha 4 mwaka jana na juzi na swali lilikuwa hilohilo moja juu ya Uingereza na Marekani.
Vijana na majibu yao:

1. Marekani ipo Uingreza na zipo Bara la Asia

2. Hiyo ni Nchi moja ya Marekani sema Uingereza ni mji wao ndio ambao unaongea sana Kiingereza na Marekani wote wakawa wanaongea hiyo Lugha.

3. Achana na mimi bwana hiyo nchi itanisaidia nini mie sijui lolote niache kusaka maisha tena unanirudisha shule.

4. Marekani ndio nchi na uingereza ni mji wake na ndio maana sijawahi kusikia RAIS wa Uingereza bali huwa nasikia RAIS wa Marekani.

5. Kwakweli mie sijui chochote.

6. Zote ni nchi na zote zipo Bara la ULAYA.

7. Kamuulize Kikwete ndio huwa anasafiri sana kwenda huko Marekani.

8. Mie ninachojua Uingereza ipo Ulaya na Marekani ipo America ya kusini.

9. Umenidharau kaka mpaka unaniuliza hivyo. Marekani ni nchi na Uingereza ni nchi. Uingereza ipo Ulaya na Marekani ipo Marekani ya Kaskazini. Marekani ina Rais kwakuwa inatumia serikali ya kidemokrasia na uingereza serikali ya kifalme na ndio maana ina Malkia Elizabeth.
Hahaaa unanidharau hebu nipe tano bro.

Nikawa nimemaliza kwa hao 9 ukijumlisha na yule mwingine akawa wa 10.
Kiukweli binafsi niliwaza mengi sana juu ya vijana wetu wengi hata ule uelewa tu wa kawaida hawana hususani wale waliomaliza kidato cha 4. Ukianglia hapo asilimia 90% hawaelewi chochote. Mie shule ya msingi niliyo soma miaka hiyo kulikuwa na ATLAS ambacho kilikuwa kitabu kizuri sana cha kuonyeha ramani za nchi mbalimbali na Tabia za Nchi. Hapa suala kuu siyo kujua sehemu ila uelewa.

Wanafunzi, Serikali na Walimu Wake, Wazazi na Wadau mbalimbali TUAMKE jamani elimu ipo pabaya sana.

Asanteni.

Hao Vijana kutokujua Uingereza au Marekani iko wapi siyo ishu! ingekuwa Ishu kama wasingejua kama Singida au Biharamulo ziko Tanzania ama la!
Kwanza Takwimu nyingi zilizofanywa na hao hao Wazungu zinaonyesha wengi wao (wazungu) hata hawajui kama Afrika ni Bara au nchi achilia mbali hata kusikia kama kuna Nchi inaitwa Tanzania, Wazungu wengi hata Raisi wa Marekani alikuwa hajui kama Afrika Ni Bara lenye nchi nyingi, alifikiri kwamba ni Nchi moja yenye lugha moja inayoitwa Kiafrika!

Hivyo kwangu sioni tatizo lolote hapo kwa hao Vijana kwani hizo Nchi haziwasaidii chochote na hata kama walifundishwa Shuleni wameshasahau kwa maana hawahitaji kujua Uingereza ilipo, kwani ni mangapi tunafundishwa Shuleni na tunasahau?

Hoja yako ni dhaifu sana!
 
Hao Vijana kutokujua Uingereza au Marekani iko wapi siyo ishu! ingekuwa Ishu kama wasingejua kama Singida au Biharamulo ziko Tanzania ama la!
Kwanza Takwimu nyingi zilizofanywa na hao hao Wazungu zinaonyesha wengi wao (wazungu) hata hawajui kama Afrika ni Bara au nchi achilia mbali hata kusikia kama kuna Nchi inaitwa Tanzania, Wazungu wengi hata Raisi wa Marekani alikuwa hajui kama Afrika Ni Bara lenye nchi nyingi, alifikiri kwamba ni Nchi moja yenye lugha moja inayoitwa Kiafrika!

Hivyo kwangu sioni tatizo lolote hapo kwa hao Vijana kwani hizo Nchi haziwasaidii chochote na hata kama walifundishwa Shuleni wameshasahau kwa maana hawahitaji kujua Uingereza ilipo, kwani ni mangapi tunafundishwa Shuleni na tunasahau?

Hoja yako ni dhaifu sana!

Nikweli wakijua haitasaidia chochote nikama wewe unavyojua halafu haikusaidii chochote. Lakini fikiria ilikuwaje mpaka ukajua.
 
Kazi ngumu sana kaka hukumbuki Mulugo kule South Africa alisema tz ni muunganiko wa Nchi gani unaenda mbali kulaumu wadogo zetu ambao bado wana muda wa kujifunza
 
Nimeipenda hoja ya namba nne,,,marekani ina rais na uingereza haina rais,,,,,very interesting!
 
Kazi ngumu sana kaka hukumbuki Mulugo kule South Africa alisema tz ni muunganiko wa Nchi gani unaenda mbali kulaumu wadogo zetu ambao bado wana muda wa kujifunza

Nikweli kaka Mulugo ndio alikuwa muwakilishi wao.
 
Nimeipenda hoja ya namba nne,,,marekani ina rais na uingereza haina rais,,,,,very interesting!

Ilikuwa inachekesha sana unapohoji lakini kiundani inatoa taswira fulani kwamba vijana wengi hawana muda wa kufuatilia habari katika vyombo mbalili vya habari.
Elimu sio darasani tu.
 
Hahahahahaaaa, nimefurahi na jibu namba 7!
Habari wana JF.
Ndio. Uingereza ni mji wa Marekani.
Jinsi nilivyoanza unaweza kusema kwanini hili sikupeleka jukwaa la Utani. La bali ni masikitiko yangu tu hasa katika swala la Elimu hapa kwetu Tanzania.
Nilikuwa na kijana mmoja tumetulia sehemu mmoja hivi tukisikiliza muziki radioni na ilipofika muda wa habari ilibidi ni badilishe kituo kingine cha radio. Yule kijana akahamaki kwanini nabadilisha wakati muziki ulikuwa mzuri. Nikamjibu tusikilize habari tujue nini kinaendelea duniani.
Katika habari hiyo Uingereza na Marekani zilitajwa.
Baada ya kutajwa huko yule kijana ambaye alimaliza kidato cha 4 mwaka 2012 akauliza mbona mie hapo sielewi kuhusu Uingereza na Marekani. Huelewi nini? nilimuuliza. Akasema "Uingereza na Marekani mbona ni nchi moja yani kama Dar es Salam na Tanzania, Uingereza ni mji na Marekani ni nchi na zipo bara la Ulaya"
Nilifikiria mengi nikajua hiki ndio kizazi cha BONGO FLAVA & MOVIE. Nilichofanya nilimfafanulia akawa kaelewa.
Baada ya hapo nikawa najiuliza juu ya vijana wetu na nikasema hebu nifanye uchunguzi kwa vijana kumi tu ambao wamemaliza kidato cha 4 mwaka jana na juzi na swali lilikuwa hilohilo moja juu ya Uingereza na Marekani.
Vijana na majibu yao:

1. Marekani ipo Uingreza na zipo Bara la Asia

2. Hiyo ni Nchi moja ya Marekani sema Uingereza ni mji wao ndio ambao unaongea sana Kiingereza na Marekani wote wakawa wanaongea hiyo Lugha.

3. Achana na mimi bwana hiyo nchi itanisaidia nini mie sijui lolote niache kusaka maisha tena unanirudisha shule.

4. Marekani ndio nchi na uingereza ni mji wake na ndio maana sijawahi kusikia RAIS wa Uingereza bali huwa nasikia RAIS wa Marekani.

5. Kwakweli mie sijui chochote.

6. Zote ni nchi na zote zipo Bara la ULAYA.

7. Kamuulize Kikwete ndio huwa anasafiri sana kwenda huko Marekani.

8. Mie ninachojua Uingereza ipo Ulaya na Marekani ipo America ya kusini.

9. Umenidharau kaka mpaka unaniuliza hivyo. Marekani ni nchi na Uingereza ni nchi. Uingereza ipo Ulaya na Marekani ipo Marekani ya Kaskazini. Marekani ina Rais kwakuwa inatumia serikali ya kidemokrasia na uingereza serikali ya kifalme na ndio maana ina Malkia Elizabeth.
Hahaaa unanidharau hebu nipe tano bro.

Nikawa nimemaliza kwa hao 9 ukijumlisha na yule mwingine akawa wa 10.
Kiukweli binafsi niliwaza mengi sana juu ya vijana wetu wengi hata ule uelewa tu wa kawaida hawana hususani wale waliomaliza kidato cha 4. Ukianglia hapo asilimia 90% hawaelewi chochote. Mie shule ya msingi niliyo soma miaka hiyo kulikuwa na ATLAS ambacho kilikuwa kitabu kizuri sana cha kuonyeha ramani za nchi mbalimbali na Tabia za Nchi. Hapa suala kuu siyo kujua sehemu ila uelewa.

Wanafunzi, Serikali na Walimu Wake, Wazazi na Wadau mbalimbali TUAMKE jamani elimu ipo pabaya sana.

Asanteni.
 
Ilikuwa inachekesha sana unapohoji lakini kiundani inatoa taswira fulani kwamba vijana wengi hawana muda wa kufuatilia habari katika vyombo mbalili vya habari.
Elimu sio darasani tu.
kuna form 4 mmoja huko mwanza akawa ananiambia "wanasema umeme hammna sababu maji hayatoshi, maji yote hayo ziwani!". ila wazazi nasi tuchukue hatau nakumbuka nyumbani kulikuwa na atlas na nimeanza kuzijua nchi darasa la tatu.
 
kuna form 4 mmoja huko mwanza akawa ananiambia "wanasema umeme hammna sababu maji hayatoshi, maji yote hayo ziwani!". ila wazazi nasi tuchukue hatau nakumbuka nyumbani kulikuwa na atlas na nimeanza kuzijua nchi darasa la tatu.

Afadhali mkuu hata hilo la maji kuzalisha umeme kwasababu ni Technical issue ambayo wengi tena hata wasomi tu wa kawaida wenye degree hawajui unless awe amesoma masuala ya umeme japo hata grade 1.
 
Ngoja tuendelee kushangaa kujadili mpaka tuchoke sasa.
 
Back
Top Bottom