ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Alipoingia Rais mama Samia tukasikia matukio ya uhalifu yamerudi kwa kasi..sasa kwa kuwa hatuna takwimu halisi ba nyie ndo jamii mnaonaje huko matukio yameendelea kushamiri au kumetulia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FafanuaUjambazi haujawahi kwisha na hautakaa uishe maana Tanzania sio Rwanda
Yamerudi kujipangaAlipoingia Rais mama Samia tukasikia matukio ya uhalifu yamerudi kwa kasi..sasa kwa kuwa hatuna takwimu halisi ba nyie ndo jamii mnaonaje huko matukio yameendelea kushamiri au kumetulia
Ngoja tumuulize Kaka Jambazi.Alipoingia Rais mama Samia tukasikia matukio ya uhalifu yamerudi kwa kasi..sasa kwa kuwa hatuna takwimu halisi ba nyie ndo jamii mnaonaje huko matukio yameendelea kushamiri au kumetulia
Na kweli, kwa sie tusio na pesa na boda boda vitv vyetu wanavisomba kweli[emoji2297][emoji2297]Actually ujambazi au wizi
Una target vitu vitatu vikubwa..
.1pesa
Kama Una pesa ndani unakaribisha majambazi
2.Bodaboda..
3.simu. TV flat..
Hakuna tena majambazi wa kuiba makochi na makabati
Mkoa gani huoKijijini kwetu yamepigwa matukio manne mfululizo, wawili waliovamiwa wanapiga kelele, majirani wanachungulia kwenye madirisha tu, jamaa wakiondoka, majirani wanawahi kutoa pole kwa aliyekutwa na janga. Jana wamepiga tena kwa jirani kabisaa, ndani ya mzingo wa kama nyumba 4 hivi.
Nimecheka sana,zamani waliiba kabati?Actually ujambazi au wizi
Una target vitu vitatu vikubwa..
.1pesa
Kama Una pesa ndani unakaribisha majambazi
2.Bodaboda..
3.simu. TV flat..
Hakuna tena majambazi wa kuiba makochi na makabati
Sasa Tv frat kuna ujambazi hapo?.Actually ujambazi au wizi
Una target vitu vitatu vikubwa..
.1pesa
Kama Una pesa ndani unakaribisha majambazi
2.Bodaboda..
3.simu. TV flat..
Hakuna tena majambazi wa kuiba makochi na makabati