Ujangili wa meno ya tembo serikali iweke takwimu wazi

Ujangili wa meno ya tembo serikali iweke takwimu wazi

Joined
Dec 9, 2008
Posts
77
Reaction score
7
naiomba serikali iweke takwimu juu ya idadi ya tembo tunaopoteza kwa njia ya ujangili,kwani wanyama hao idadi inapungua kila kukicha na hatuoni serikali yetu ikichukua hatua yeyote kudhibiti ujangili,kwani hatua wanazochukua ni maneno.au tunasubiri idadi ipungue kabisa ndo tuandae NGOs zakulinda tembo kama SAVE THE TANZANIA ELEPHANT,na majina mengine?au idadi yao ndo ina wapumbaza mkijua kuwa elephants wako wengi?au mnataka ifike kipindi muanze kuwafanyia traslocation kama kenya wanavyofanya na TEMBO wa amboseli?nawasilisha hoja
 
Takwimu zilizopo sasa hivi ni kuwa kuna wastani wa tembo 67 wanaouwawa kila siku katika maeneo mbalimbali hapa Tanzania. Na kwa mahesabu, kama hali itaendelea hivi, inasadikiwa kuwa ifikapo mwaka 2020 wanyama hawa watakuwa wametoweka kabisa Tanzania. Ndio ninalolifahamu mpaka wakati huu.
 
Back
Top Bottom