Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,370
Niskuchoshe usinchoshe mie ngoja nikupe data nzima jinsi huyu kijana anavyofanya vitu vyake ili asiishiwe umaarufu
1.Show zake ni unique kwa kutumia dancers mtu huboreki pia show pia jamaa awapo stejini ni makamuzi kwenda mbele
2.Jamaa anapiga pamba kali zenye pesa chafu kitu amabcho kwa watu wanaopenda mambo ya fashion especially matozi hawachoki kumfatilia alichovaa
3.Anajitangaza sana social networks kama vile facebook na instagram, Achaneni na wapuuzi wale wanaompostia kila kitu wakati hata hawajaambia wala hawapi kitu, nadhani mnawajua
4.Anafanya events kubwa sana za kihistoria kwa mfano alizindulia video yake kwa kutoa gari kwa msanii mkongwe hii iligusa mioyo ya watu wengi pale hotel serena hotel ya kifahari pia aligharamia sana tofauti na wasanii wengine
5.Ana mikataba na makampuni makubwa mfano ana deal pale cocacola na vodacom
6.Ana skendo kibaooooooooo hmara wema, mara za mganga hizi skendo wadaku hawaachagi kuzifatilia
toa point yako nawe kama una ya ziada
1.Show zake ni unique kwa kutumia dancers mtu huboreki pia show pia jamaa awapo stejini ni makamuzi kwenda mbele
2.Jamaa anapiga pamba kali zenye pesa chafu kitu amabcho kwa watu wanaopenda mambo ya fashion especially matozi hawachoki kumfatilia alichovaa
3.Anajitangaza sana social networks kama vile facebook na instagram, Achaneni na wapuuzi wale wanaompostia kila kitu wakati hata hawajaambia wala hawapi kitu, nadhani mnawajua
4.Anafanya events kubwa sana za kihistoria kwa mfano alizindulia video yake kwa kutoa gari kwa msanii mkongwe hii iligusa mioyo ya watu wengi pale hotel serena hotel ya kifahari pia aligharamia sana tofauti na wasanii wengine
5.Ana mikataba na makampuni makubwa mfano ana deal pale cocacola na vodacom
6.Ana skendo kibaooooooooo hmara wema, mara za mganga hizi skendo wadaku hawaachagi kuzifatilia
toa point yako nawe kama una ya ziada