Ujanja ujanja wako JK unapata aibu, ona sasa haya mambo

Lunyungu

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2006
Posts
8,873
Reaction score
1,906
JK baada ya kudhani kumleta mzungu wa Canada itakuwa msada kwake kurudisha hadhi yake miongoni mwa Watanzania sasa haya yameibuka .Hebu semeni JK alifikiria nini kumleta huyu mzungu ghafla hivi ?

 
Shinikizo lipelekwe huko huko kwa Canadians maana sisi tukisema wanasema hatuna hoja.
 
hivi hawa viongozi wetu sijui wanafanya kazi kwa maslahi ya nani? angalia rada,aliyefanya uchunguzi na kupiga kelele ni mwingereza na katupatia full report tuweze kushtaki hao wahalifu lakini kilichotokea ni comedy tuu,tunaibiwa madini wanaotutetea ni hao hao canadians lakini vilaza JK na Karamagi na wabunge mbumbumbu bila kumsahau kada mpinzani wanasisitiza mikataba ni safi...dawa ni kuwanyima kula tuu la sivyo hii itaendelea kuwa order of the day!
 
Mimi nakwambia kuna mtu atafukuzwa kazi karibuni huko ikulu.

Washauri wa Kikwete wote wameoza, hakuna mtu wa kumshauri vyema.
Mimi naanza kupiga kampeni, FMES apewe nafasi kuwa mshauri mkuu wa raisi maana naona wengine hawa wote wachemfu.
 
hii hali inatisha
inabidi sasa tufike mahala hizi hoja zetu humu ziwe compiled halafu zichapishwe ktk kijarida mara nne kwa mwaka ili kuwafikia watanzania wengi zaidi.
hali ya kuwa kilaza huku una dhamana inatisha. mbona mawaziri wa nyerere hawakusoma wengi ila walikuwa na misimamo??
 
Hizo ni politics za ndani za Canada na wala hata siku moja haziwezi kutusaidia sisi.

Anayejua watu wa West, wa kwanza kujifanya wanatetea wanyonge lakini hakuna hatua wanazochukua zaidi ya kuzomeana bungeni.

Mcanada anajali maslahi ya nchi yake, mambo ya Watanzania ni ya JK na sisi watu wake.

Haya mengine ni usanii tu ndani ya mabunge ya West.
 

...bora hao unaowaita wasanii lakini wanasema ukweli na wanasema waziwazi tumepewa bad deal,vipi na wale ambao mtu akipiga chafya kuwa hii ni bad deal basi na bungeni anafukuzwa au kufukuzwa kazi,tusitake misaada mikubwa sana hata huo wa kelele unasaidia
 
Mtanzania nini kifanyike kaka?
Nchi za magharibi zinajali maslahi yao, lakini zinaweka mbele sana kufanya kazi under ethics amblella. Nadhani Canadian people needs to know the brutality of their corporation.

Hii ni kumuumbua JK amabaye amesema kwamba hatuna matatizo na Barrick lakini tunataka win win situation.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…