Habari ndugu zangu.Ni siku kadhaa zimepita tangu manguli wa bongo flava kutoa nyimbo Alikiba~seduce me na Diamond/wcb ~zklipendwa.
Tangu nyimbo zilivyoachiwa seduce me ya King kiba ilikuwa no 1trend in vevo accnt +3mil+ huku zilipendwa ikiwa no 2 trend+2mil.Siku ya jana zilipendwa ilishika nafasi ya kwanza lakini cha ajabu seduce me imerudi katika nafasi yake.Hii inaleta picha gani wadau
Toa maoni yako