Ujasiliamali Tanzania

TheThreatTr

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2015
Posts
339
Reaction score
13
Napenda kuwapa taarifa watanzania popote pale mlipo.......ninafanya ujasiliamali na ninawataarifu vijana wote na watu wa rika lolote waje tufanye ujasiliamali wenye tija na maendeleo yetu kwa pamoja kama taifa.....
Kwa mawasiliano zaidi napatikana kwa namba 0654158574/ 0765353056/0684974811....Napatikana Dar es salaam.....#Kwa pamoja tunaweza leta mabadiliko katika UJASILIAMALI
ASANTENI SANA
 
mbona hujaweka ni ujasiria mali upi unaojishughurisha nao au unatehemeA

au ndo yale yale unatAfuta mtaji???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…