Ujasiri wa wanawake wa kipekee

Ujasiri wa wanawake wa kipekee

Amini mkuu,mwanamke ambaye umekutana nae Kwa Mara ya kwanza....Hakujuhi nawe haumjuhi

Lakini unamset na anasetika,Mnaenda maeneo ya Faragha....Ajabu mnakwichi Na Analala usingizi mzito wa Fofofo kabisa.

Ujasiri huu wanaume Hatuna Kabisa

🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wanaume bwana!! No wonder hata kuendesha ndoa na familia kumewashinda siku hizi. Hivi zile akili mliziacha wapi??
I wish mkumbuke mlikoziacha mzitumie hata kidogo tu.
 
Tumepewa konvising'i pawa kubwa sana.
Kuna kipindi unampanga mtoto wa watu hadi naogopa
Amini mkuu,mwanamke ambaye umekutana nae Kwa Mara ya kwanza....Hakujuhi nawe haumjuhi

Lakini unamset na anasetika,Mnaenda maeneo ya Faragha....Ajabu mnakwichi Na Analala usingizi mzito wa Fofofo kabisa.

Ujasiri huu wanaume Hatuna Kabisa
 
Kwani wewe hiyo inakuwa mara ya pili

Mi nachekaga tu mkiwa mnafika unakoroma kama kondoo na kukakamaaa na kusinzia hapo hapo 🤣🤣🤣🤣
 
Mbona kwenye chombo cha usafiri huwa unasizia hadi unatishwa kwenu.
 
Vipi kuhusu upande wa wapi wa Wanaume, ujasiri huwa mnaupata wapi?
 
Amini mkuu,mwanamke ambaye umekutana nae Kwa Mara ya kwanza....Hakujuhi nawe haumjuhi

Lakini unamset na anasetika,Mnaenda maeneo ya Faragha....Ajabu mnakwichi Na Analala usingizi mzito wa Fofofo kabisa.

Ujasiri huu wanaume Hatuna Kabisa
Duuuuuuu.......... Hakujuhi nawe haumjuhi..... wewe ndo utakuwa umeandika lile tangazo mtaani kwenyu "MKAA HUPO HAPA"
 
Ahaha kwenye mazingira hayo mm huwa nawazaga mambo ya kufa kufa ..ya kikanumba.akinifia humu itakuaje???ndio mana huwa sizipendi hiz mambo.acha nijilie vyangu vya halali tu
 
Unamtoa mtu mbagala zakiem unaenda nae Kifuru huko anaingia kwako unafunga milango yote analala anakoroma yan anaenjoy kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Amini mkuu,mwanamke ambaye umekutana nae Kwa Mara ya kwanza....Hakujuhi nawe haumjuhi

Lakini unamset na anasetika,Mnaenda maeneo ya Faragha....Ajabu mnakwichi Na Analala usingizi mzito wa Fofofo kabisa.

Ujasiri huu wanaume Hatuna Kabisa
Mwingine anafika mbali kabisa utasikia mwaga ndani..Gaddamit!!
 
Back
Top Bottom