NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,958
- 2,954
Kuu nipo Dodoma napata wapi hiyo stature culture mkuu.nimekuwa nikitengeneza yoghurt lakini siwajahi well hiyo kitu Ahsante natanguliza shukranDodoma!
na mimi ntasubiri kujua tofauti kati ya cultured milk (maziwa mtindi) na YoghurtNasubiri somo juu ya utengenezaji wa siagi,,, hlf mkuu kuna tofauti gani kati ya siagi na samli?
na mimi ntasubiri kujua tofauti kati ya cultured milk (maziwa mtindi) na Yoghurt
sasa hii ni physical difference .... je ina utofauti gani kiutengenezaji na pia nutritionalHiyo iko hivi yogurt ni smooth kama uji haina mabonge bonge pia inaweza kuongezwa flavour tofauti tofauti mtindi huo unajulikana una mabonge bonge n.k
Ndio,Nasubiri somo juu ya utengenezaji wa siagi,,, hlf mkuu kuna tofauti gani kati ya siagi na samli?
Kiutengenezaji soma mabandiko yote mawili, nimeeleza.sasa hii ni physical difference .... je ina utofauti gani kiutengenezaji na pia nutritional
Mkuu wewe ni mtaalam wa vyakula aina zote au umespecify kwenye maziwa tu?Namba ya simu ipo kwenye bandiko la mada, hivyo yeyotr ambae atahitaji kufanya hii biashara anaweza nitafuta.
Kwa biashara hii kupata faida hakikisha unapata maziwa ghafi (toka kwa mfugaji) bei isizid 1,000 hadi 1200Tzs kwa lita moja.
Ukiwa na uhakika wa kupata maziwa chini ya buku kwa lita basu utalamba faida nono.
Sent using Jamii Forums mobile app
DIT wanatoa diploma ya food science#foodscientist naomba unisaidie vyuo vinavyotoa diploma ya food science au course zinazo endana na hizo. Pls
Nenda sido pia huwa wanauza, kama hawana wanakuagizia toka darChupa kama hizi naweza kupata wapi
Ni kweli DIT wana Diploma ya food science na pale SUA wanayo. Lakini hawa wanavigezo vyao kujiunga kwenye course hizo ambazo ni za kisomi zaidi.DIT wanatoa diploma ya food science
Sido hutoa mafunzo hayo.Ni kweli DIT wana Diploma ya food science na pale SUA wanayo. Lakini hawa wanavigezo vyao kujiunga kwenye course hizo ambazo ni za kisomi zaidi.
Kutokana na uzoefu wako, ni wapi watu wa kawaida kabisa ambao wanataka kujifunza huu ujuzi wa kutengeneza bidhaa za maziwa wanaweza kuyapata .
Kama hutojali unaweza kutaja sehemu unazofahamu hasa MOROGORI wanatoa mafunzo kama hayo au kama wewe unatoa mafunzo rasmi physically kwa wanaotamani kujifunza uso kwa uso ukiacha haya ya hapa Jf.
SIDO sina hakika kama wana mafunzo kama haya na kama unafahamu unaweza kutujuza pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sido au maduka ya Kilimo na mifugo au maduka ya ujasiriamaliHiyo kemikali inapatikana wapi kwa huku arusha?
Sido huendesha mafunzo hayo kwa njia kadhaaNi kweli DIT wana Diploma ya food science na pale SUA wanayo. Lakini hawa wanavigezo vyao kujiunga kwenye course hizo ambazo ni za kisomi zaidi.
Kutokana na uzoefu wako, ni wapi watu wa kawaida kabisa ambao wanataka kujifunza huu ujuzi wa kutengeneza bidhaa za maziwa wanaweza kuyapata .
Kama hutojali unaweza kutaja sehemu unazofahamu hasa MOROGORI wanatoa mafunzo kama hayo au kama wewe unatoa mafunzo rasmi physically kwa wanaotamani kujifunza uso kwa uso ukiacha haya ya hapa Jf.
SIDO sina hakika kama wana mafunzo kama haya na kama unafahamu unaweza kutujuza pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo Kkoo Mtaa wa Pemba na SikukuuMaduka ya kuuza vifungashio yanapatikana wapi?
Mtindi unaitwaje kwa kiingereza? Na yogurt inaitwaje kwa kiswahili?Kiutengenezaji soma mabandiko yote mawili, nimeeleza.
Kinutrition hakuna sana tofauti, lkn kuna some flavonoids zinaongezeka kwenye yogurt.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru sana chief!Sido huendesha mafunzo hayo kwa njia kadhaa
1. Hukusanya washiriki kwa pamoja kisha huwafunza
2. Ikiwa kuna MTU atahitaji mafunzo na wakati huo sido haijawa tayari kuyatoa kwa kuzingatia mambo kadhaa, basi sido inalojukumu la kumuunganisha muhitaji na mtaalamu mkufunzi kisha akapatiwa mafunzo yeye binafsi na sido ikaratibu taratibu zingine .
NB wataalamu au wakufunzi binafsi tunaorambulika na sido tupo, ukiwa na uhitaji nicheki kwa maelekezo zaidi.
Karibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Napatikana Kahama mkoa Wa Shinyanga kwa maana ya physical location ya kiwanda changu.Nashukuru sana chief!
Sio vibaya ukitoa details kabisa za namna tunavyoweza kukupata kwa sababu taratibu za SIDO nazo zina mlolongo wake. Naona kila wakipita wanakutana na watengeneza sabuni, chaki nk
Unapatikana wapi kwa maana ya mkoa au wilaya unapofanyia shughuli zako ili ikiwezekana tukutembelee kiwandani kwako
Sent using Jamii Forums mobile app