Ujasiriamali: Kinachoua biashara sio mtaji

Daya2012

New Member
Joined
Jun 26, 2013
Posts
3
Reaction score
3
watu hudhani mtaji ndyo hitaji kuu la biashara.... naweza sema kweli lakini its A VERY BIG NO. niulize kwa nini....
 
Hitaji la kwanza ni fikla zako,kua na uwezo wa kufikili na kubuni biashara ya tofauti au yenye vionjo.ukifikiliacho kukitenda ndicho utakachofanya,ukiwa na pesa bila wazo sahihi pesa zaweza kukuishia kwa kufanya usichokijua na kikaishia njiani
 
Hitaji la kwanza ni fikla zako,kua na uwezo wa kufikili na kubuni biashara ya tofauti au yenye vionjo.ukifikiliacho kukitenda ndicho utakachofanya,ukiwa na pesa bila wazo sahihi pesa zaweza kukuishia kwa kufanya usichokijua na kikaishia njiani

Kweli kabisa inabidi uwe na fikra 'idea' kuhusu nini wahitaji fanya, na lazma uwe unauelewa mzuri na unachotaka kufanya kama huna chunguza... nimeshawahi kujaribu kufanya biashara bila mtaji na nkaona inawezekana. nlichokuwa nacho ni idea tu.[/QUOTE]
 
Umeongea vizuri mtoa mada. nilitaka tu kuongezea pia sio lazima uwe na mawazo mapya au biashara mpya kwa sababu biashara mpya ni ngumu kuzipata chakufanya ni kujaribu kufanya hizi hizi wenzetu wanazofanya kwa njia ambayo ni bora zaidi ya wengine ili kuwavutia wateja upande wako kwani kama mnavyojua Genious sio kwamba hawafanyi makosa ila wanayarekebisha makosa yao haraka kabla yeyote hajayabaini. Hivyo ufanyapo kitu ambacho wengi mnafanya jaribu kuwa bora zaidi ya wengine na kufanya mambo Unique kidogo utaona tofauti yako na wao.
 
kweli kabisa
 
Kinachoua biashara;

1. Jinsi ya ku-manage your financials kwenye biashara.

2. Kukosa maono na malengo.

3. Kuwekeza muda na akili kwenye biashara yako.
 
Mada nzuri, pia kuwa na nidhamu binafsi katika kuweka kumbukumbu sahihi za cash flow ili kujua mapema kama unaingiza faida au hasara.
 
kuna watu wakianzisha biashara wanashindwa kuisimamia kiasi kwamba kila biashara inapohitaji huduma ya kifedha basi pesa hiyo hutoka mfukoni mwake.... na pia tahadhari kwa wanaodhani inabidi wakope mkopo ndyo wafanye biashara kwanza kaa fikiria kuwa ukikopa utafanya nini, itakuingizia kiasi gani kwa utafiti wako, kiasi kitakachoingizwa kitatosheleza kurudisha mkopo na faida kwa muda gani....
watu hawachunguzi wanaishia kuuziwa makochi na makabati ndani. %think in a positive way%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…