Ujasiriamali na masomo

Ujasiriamali na masomo

Davis chelsea

Member
Joined
Jul 28, 2011
Posts
93
Reaction score
10
Guys ukiwa unasoma chuo kama udsm unaweza kufanya ishu yeyote ya kukuingizia kipato?naombeni mniambie kama inawezekana na ni ishu gani au biashara gani mtu unaweza fanya
 
Kwa hapa bongo ka hujadisco ni bahati.
 
Elimu ya Tz ni ngumu sana. Inawezekana ila inabidi uwe na kichwa Flexible sana. Na sana sana mtu anaweza kufanya shughuli zake nyingine kama anasoma Evening studies,ila kwa Fulltime inasumbua. Shughuli yoyote unafanya ila ni ile ambayo haikuweki mbali na chuo sana,kama kusafiri.
 
Guys ukiwa unasoma chuo kama udsm unaweza kufanya ishu yeyote ya kukuingizia kipato?naombeni mniambie kama inawezekana na ni ishu gani au biashara gani mtu unaweza fanya

Naomba uni pm tudiscuss hio issue
 
ni ishu gani labda ambazo unaweza fanya na ukabalance time vizuri?
 
well kwa udsm pale utata kidogo coz kwanza chuo kipo mbal na town (labda kama shughuli zako ziwe huko huko au maeneo ya jirani kwa sababu muda huwa ni issue sana unapodouble mambo kwa wakati mmoja afu ili uweze kufanya mambo yako mengine atleast uwe unasoma evening college,kwa IFM au CBE life easy
 
Back
Top Bottom