Davis chelsea
Member
- Jul 28, 2011
- 93
- 10
Guys ukiwa unasoma chuo kama udsm unaweza kufanya ishu yeyote ya kukuingizia kipato?naombeni mniambie kama inawezekana na ni ishu gani au biashara gani mtu unaweza fanya
<br />ni ishu gani labda ambazo unaweza fanya na ukabalance time vizuri?