book11 JF-Expert Member Joined Mar 24, 2017 Posts 700 Reaction score 390 Dec 13, 2017 Thread starter #21 Tabby said: Tafadhali kiongozi tuambie, mahala original pa kupata hizo acids. Huku kwetu Namtumbo hakuna maduka ya wajasilia mali. Click to expand... Agiza dar es salaam,kuna maduka ya ujasiriamali hasa kariakoo.
Tabby said: Tafadhali kiongozi tuambie, mahala original pa kupata hizo acids. Huku kwetu Namtumbo hakuna maduka ya wajasilia mali. Click to expand... Agiza dar es salaam,kuna maduka ya ujasiriamali hasa kariakoo.
Meljons JF-Expert Member Joined Jun 25, 2012 Posts 3,105 Reaction score 1,406 Dec 13, 2017 #23 srinavas said: Sulphuric Acid na Hcl zinapatikana wapi mkuu na Bei zake kwa lita Zimekaaje?? na vipi maji ya chumvi yanafaa?? Click to expand... Nafikiri sio hizi alizoandika, soma vizuri.
srinavas said: Sulphuric Acid na Hcl zinapatikana wapi mkuu na Bei zake kwa lita Zimekaaje?? na vipi maji ya chumvi yanafaa?? Click to expand... Nafikiri sio hizi alizoandika, soma vizuri.
book11 JF-Expert Member Joined Mar 24, 2017 Posts 700 Reaction score 390 Dec 13, 2017 Thread starter #24 Malighafi ni hizo hapo juu ,kwenye maduka ya ujasiriamali vinapatikana.