Ujasiriamali

Baba mtata

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2012
Posts
280
Reaction score
40
Heshima wakuu
Naomba mwenye uelewa kuhusu masuala ya ujasiriamali mana nasikia kila siku vijana tuwe wajasiriamali lakini sijapata elimu kuhusu ujasiriamali kwahiyo mwenye uelewa hata kwa maana tu ya neno ujasiriamali na sifa zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…