B Baba mtata JF-Expert Member Joined Dec 6, 2012 Posts 280 Reaction score 40 Dec 8, 2012 #1 Heshima wakuu Naomba mwenye uelewa kuhusu masuala ya ujasiriamali mana nasikia kila siku vijana tuwe wajasiriamali lakini sijapata elimu kuhusu ujasiriamali kwahiyo mwenye uelewa hata kwa maana tu ya neno ujasiriamali na sifa zake
Heshima wakuu Naomba mwenye uelewa kuhusu masuala ya ujasiriamali mana nasikia kila siku vijana tuwe wajasiriamali lakini sijapata elimu kuhusu ujasiriamali kwahiyo mwenye uelewa hata kwa maana tu ya neno ujasiriamali na sifa zake
CONSULT Senior Member Joined May 8, 2011 Posts 194 Reaction score 204 Dec 9, 2012 #2 Ujasiriamali ni tabia ambazo mara nyingi wanakuwanazo MATAJIRI, Pitia hii thread inaweza kukusaidia https://www.jamiiforums.com/ujasiriamali/251157-hivi-mjasiri-amali-ni-nani-hasa.html https://www.jamiiforums.com/business-and-economic-forum/253648-what-is-entrepreneurship.html
Ujasiriamali ni tabia ambazo mara nyingi wanakuwanazo MATAJIRI, Pitia hii thread inaweza kukusaidia https://www.jamiiforums.com/ujasiriamali/251157-hivi-mjasiri-amali-ni-nani-hasa.html https://www.jamiiforums.com/business-and-economic-forum/253648-what-is-entrepreneurship.html