Polen na majukumu! Nna ujauzito nmeingia mwezi wa 9 sasa ila nna tatizo linanisumbua huwa nikila tu ile asbh tumbo linaniuma kwa hapa juu! Litaniumaaaa km dk 2 hv then litaacha! Karbia kila siku asbh nilapo! Sasa iv likiniuma linanikata na naharisha sometimes! Then haja kubwa inakuwa km ya kijan kijani! Ushaur wenu ni msaada mkubwa kwangu..asanteni
Basi possible ikawa ndo zinakuletea hio problem. Hem km itawezekana ziache kiasi ya siku 3 then angalia itakuaje. Hio ya haja kubwa kuwa na rangi ya kijani uhakika inasabishwa na folic acid
Basi possible ikawa ndo zinakuletea hio problem. Hem km itawezekana ziache kiasi ya siku 3 then angalia itakuaje. Hio ya haja kubwa kuwa na rangi ya kijani uhakika inasabishwa na folic acid
Basi possible ikawa ndo zinakuletea hio problem. Hem km itawezekana ziache kiasi ya siku 3 then angalia itakuaje. Hio ya haja kubwa kuwa na rangi ya kijani uhakika inasabishwa na folic acid
Pole. Jaribu kuulizia ushauri zaidi next time ukienda antenatal clinic. Wao ni jukumu lao kukushauri na kukupa dawa/njia mbadala ili usipate madhara wewe pamoja na mtoto. Mungu Atakusaidia utajifungua salama!
Usijali dada tuko pamoja. Mie ilinitokea ivo pia nlivokua mjamzito na nilikua natumia folic acid niliziacha na niliporudi clinic nilimwambia Dr akanibishia kuwa sip hizo dawa ziloniumisha tumbo lkn believe me nilipoziacha folic acid ndo ilikua nafuu kwangu. Mi nna tatizo la vidonda pia. Nakushauri pia achana na vyakula vinokutia gesi au vyakula vichachu sn pia sio vizuri