Ujauzito unaweza ukawa umeharibika?

Ujauzito unaweza ukawa umeharibika?

Meryam

New Member
Joined
Jul 24, 2022
Posts
1
Reaction score
1
Mdogo wangu in mjamzito miezi mitatu, juzi alhamis jion maji yalianzakumtoka na baadae damu tukaenda hospital moja ya karibu waka mpima wakasema mtoto hana maji na njia imefunguka

Je, hapo kuna uwezekano wa mtoto kuishi bila maji?
 
mtoto hawezi kuishi bila amniotic fluid sababu ndio yanayompa nafas akacheza vizur jaribuni kwenda hospital kubwa zaidi au mlishauriwaje?? na kama njia imefunguka it means unataka kutoka
 
Kikuongezeka na uwepo wa contractions tu basi hiyo tunasema kitaalamu ni Inevitable Abortion. Yaani hakuna namna hapo, mimba lazima itoke tu..

Kwa sababu mtoto hatoweza tena kuishi humo kwa miezi 6 iliyobaki uki plus na njia kubakia wazi. Kikawaida mtoto hawezi ku survive!
 
Njia haitakiwi kufunguka kabla ya muda wa kujifungua… hivyo hiyo ni moja ya dalili hatari kwa mama mjamzito… pia kutokwa na hayo maji maji na damu sehemu za siri wakati wa ujauzito ni dalili ya hatari kwa mama mjamzito……Kwakuwa umeomba ushauri basi ushauri wangu ni MPELEKE HOSPITAL KUBWA AFANYIWE UCHUNGUZI ZAIDI!!!
 
Back
Top Bottom