NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,958
- 2,954
Kwa hapa nchini sikushauri. Hamna facility ya kustore ovi wala sperms kwenye bank. Hata kama utahitaji invitro fertilisation standard ya kusterelise hizo intruments ni ndogo sana hata kwenye best Hospitals. Kama uno uwezo bora uende Malaysia. It is very cheap. Only about 3,000$us pamoja na hospitalisation. Sauzi wanafanya lakini bei juu.
Kwa hapa nchini sikushauri. Hamna facility ya kustore ovi wala sperms kwenye bank. Hata kama utahitaji invitro fertilisation standard ya kusterelise hizo intruments ni ndogo sana hata kwenye best Hospitals. Kama uno uwezo bora uende Malaysia. It is very cheap. Only about 3,000$us pamoja na hospitalisation. Sauzi wanafanya lakini bei juu.
Jaribu kufuata ushauri huo
Kwa hapa nchini sikushauri. Hamna facility ya kustore ovi wala sperms kwenye bank. Hata kama utahitaji invitro fertilisation standard ya kusterelise hizo intruments ni ndogo sana hata kwenye best Hospitals. Kama uno uwezo bora uende Malaysia. It is very cheap. Only about 3,000$us pamoja na hospitalisation. Sauzi wanafanya lakini bei juu.
Naweza pata jina lake au jina la hostak iyo au any comm.