kitokololoo
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 704
- 818
Mda si mrefu mtapata aka anko wana jf lakini kabla sijaoa nilikuwa nasikia mwanamke akiwa mjamzito huwa anamchukia sana mwanamume aliyempa mimba inafika kipindi hataki ata kumuona.
Lakini huyu wangu ananishangaza kwanza mda wote hataki nitoke kabisa ndani anataka tushinde wote nyumbani nishike shike tumbo lake tu.
Kibaya zaidi yani inafikia hatua hataki ata asubuhi niamke niende kwenye mishemishe zangu za maisha yani kama nimechoka nikitega alarm asubuhi iniamshe yeye usiku anazima kabisa simu yangu na kutoa betri kabisa hataki niondoke.
Kiukweli hii imekuwa kero kwangu yani ili niondoke nyumbani lazima nivizie labda awe amelala au anaoga yani imekuwa kero..
Huyu sasa mimi nimfanye?
Lakini huyu wangu ananishangaza kwanza mda wote hataki nitoke kabisa ndani anataka tushinde wote nyumbani nishike shike tumbo lake tu.
Kibaya zaidi yani inafikia hatua hataki ata asubuhi niamke niende kwenye mishemishe zangu za maisha yani kama nimechoka nikitega alarm asubuhi iniamshe yeye usiku anazima kabisa simu yangu na kutoa betri kabisa hataki niondoke.
Kiukweli hii imekuwa kero kwangu yani ili niondoke nyumbani lazima nivizie labda awe amelala au anaoga yani imekuwa kero..
Huyu sasa mimi nimfanye?