Uchaguzi 2020 Ujazaji wa fomu za uchaguzi, umakini ni muhimu sana!

Uchaguzi 2020 Ujazaji wa fomu za uchaguzi, umakini ni muhimu sana!

lutemi

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2013
Posts
1,748
Reaction score
1,388
Nawakumbusha wagombea
Msijaze kiholela form za kuomba kugombea
Udiwani
Ubunge
Urais
Form hizo zitachunguzwa kipengele baada ya kipengele.
Kama kuna sehemu huelewi uliza ili usaidiwe maana utawekewa pingamizi la kitoto kabisa kwa ujinga wako.
 
Naunga mkono hoja
Ninachojua watu wataanza kukatwa mapema sana kwasababu ya ujinga wao.

Mfano

Sir name
Jina la ukoo

Middle name
Jina la kati

Name
Jina.

Unaitwa
Haruna mtiania mwakipilipili

Sir name
mwakipilipili

Middle name
Mtiania

Name
Haruna

Kuweni makini tunawakumbusha

Sio kila jambo mtakuwa mmeonewa ila utakuwa ujinga wenu
 
Akina Nani wataanza kukatwa mapema sababu ya ujinga wao? Wataje ili hao wajinga wasipewe fomu watapoteza muda tuu wakati ambao siyo wajinga wapo.
 
Akina Nani wataanza kukatwa mapema sababu ya ujinga wao? Wataje ili hao wajinga wasipewe fomu watapoteza muda tuu wakati ambao siyo wajinga wapo.
Siraha huundwa wkati wa amani ili itumike wakati wa vita, hata wewe unaweza kukatwa usipoelekezwa sasa
 
Ninachojua watu wataanza kukatwa mapema sana kwasababu ya ujinga wao.

Mfano

Sir name
Jina la ukoo

Middle name
Jina la kati

Name
Jina.

Unaitwa
Haruna mtiania mwakipilipili

Sir name
mwakipilipili

Middle name
Mtiania

Name
Haruna

Kuweni makini tunawakumbusha

Sio kila jambo mtakuwa mmeonewa ila utakuwa ujinga wenu
Sir name ndo nini!??
 
Back
Top Bottom