DOKEZO Ujenzi barabara Bagamoyo, Tegeta Mwenge yanafanyika makosa yale yale!

DOKEZO Ujenzi barabara Bagamoyo, Tegeta Mwenge yanafanyika makosa yale yale!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Sasa hivi tunaona kuna ujenzi Bagamoyo Road, kipande cha Mwenge-Tegeta.

Kama mwananchi nilikaa kipande hii muda mrefu napenda kuwatonya TANROADS kuwa MAKOSA YALE YALE ya kitaalam yanafanyika.

Barabara hii iliwekewa mitaro ya maji ya mvua midogo sana sehemu hizi:
-sehemu za maingiliano ya barabara za Bagamoyo na Salasala kuna kuwa mafuriko makubwa wakati wa mvua
-hapo sehemu za kiwanda cha Raffia
-sehemu ya Art Gallery
-sehemu ya maingiliano ya barabara za Bagamoyo na ile toka Goba

Sehemu zote nilizotaja maji ni mengi mno toka miinuko ya Goba na Salasala, hivyo mitaro kuzidiwa maji ya mvua.
Sioni juhudi zozote kutatua tatizoo hilo katika ujenzi uliopo.

Au TANROADS wana subiri kuifumua tena barabara baada ya miaka miwili?
 
Inabidi nijifunze kutumia reverse engineering kwenye mambo ya uchunguzi.

Wanaoshinda tender za ujenzi ni kina nanj? Wana mipango gani endelevu?
- Nikishajua, nitaacha kuumia moyo kwa madudu yafanyikayo.

Ingawa u-ccm haukosekani kwenye hayo makosa ya kiufundi kabisa yanayojirudia rudia.
 
Sasa hivi tunaona kuna ujenzi Bagamoyo Road, kipande cha Mwenge-Tegeta.

Kama mwananchi nilikaa kipande hii muda mrefu napenda kuwatonya TANROADS kuwa MAKOSA YALE YALE ya kitaalam yanafanyika.

Barabara hii iliwekewa mitaro ya maji ya mvua midogo sana sehemu hizi:
-sehemu za maingiliano ya barabara za Bagamoyo na Salasala kuna kuwa mafuriko makubwa wakati wa mvua
-hapo sehemu za kiwanda cha Raffia
-sehemu ya Art Gallery
-sehemu ya maingiliano ya barabara za Bagamoyo na ile toka Goba

Sehemu zote nilizotaja maji ni mengi mno toka miinuko ya Goba na Salasala, hivyo mitaro kuzidiwa maji ya mvua.
Sioni juhudi zozote kutatua tatizoo hilo katika ujenzi uliopo.

Au TANROADS wana subiri kuifumua tena barabara baada ya miaka miwili?
TANROADS ni tatizo. Naona wakaguzi hakuna.
 
Ujenzi wenyewe sio rafiki kwa watumiaji wa barabara.. Unakuta nataka kwenda Tangibovu kutoka Tegeta lakini nalazimika kwenda kugeuzia njia panda ya Kawe.. Barabara zimezibwa ovyo ovyo tu..
 
Sasa hivi tunaona kuna ujenzi Bagamoyo Road, kipande cha Mwenge-Tegeta.

Kama mwananchi nilikaa kipande hii muda mrefu napenda kuwatonya TANROADS kuwa MAKOSA YALE YALE ya kitaalam yanafanyika.

Barabara hii iliwekewa mitaro ya maji ya mvua midogo sana sehemu hizi:
-sehemu za maingiliano ya barabara za Bagamoyo na Salasala kuna kuwa mafuriko makubwa wakati wa mvua
-hapo sehemu za kiwanda cha Raffia
-sehemu ya Art Gallery
-sehemu ya maingiliano ya barabara za Bagamoyo na ile toka Goba

Sehemu zote nilizotaja maji ni mengi mno toka miinuko ya Goba na Salasala, hivyo mitaro kuzidiwa maji ya mvua.
Sioni juhudi zozote kutatua tatizoo hilo katika ujenzi uliopo.

Au TANROADS wana subiri kuifumua tena barabara baada ya miaka miwili?
Picha iko wapi mkuu?
 
Hii nchi kuna mambo ukiyafikiria utaumiza kichwa bure tu,
Ukipata nafasi kula tembea subiria mitano Tena!
 
Nakuwa najiwazia tu hapa mvua zikianza kunyesha na kadhia iliyopo hapo kipindi hiki cha kiangazi
 
Zoezi la Ujenzi wa Barabara huwa haliishi katika nchi masikini
Ndio urefu wa kamba yao ulipo! Sawa na barabara toka Africana kwenda Whitesands kila mwaka lazima watengeneze drainage kwa budget ya mabilioni? Samia hebu tupia macho matumizi ya serikali yako utatuua na kodi/ tozo!
 
Back
Top Bottom