Candela JF-Expert Member Joined Aug 12, 2021 Posts 817 Reaction score 2,180 Jun 18, 2023 #1 Wadau tujuazane kuhusu ujenzi unaindelea pale buguruni, hizi nchi zetu za hovyo sana kazi inaendelea na hamna taarifa yoyote kwa wananchi. Kila siku napita pale nione hata bango linaloelezea nini kinaendelea lakini wapi.
Wadau tujuazane kuhusu ujenzi unaindelea pale buguruni, hizi nchi zetu za hovyo sana kazi inaendelea na hamna taarifa yoyote kwa wananchi. Kila siku napita pale nione hata bango linaloelezea nini kinaendelea lakini wapi.
Crocodiletooth JF-Expert Member Joined Oct 28, 2012 Posts 20,561 Reaction score 24,428 Jun 18, 2023 #2 Sinohydro!
Katkit JF-Expert Member Joined Mar 12, 2023 Posts 1,893 Reaction score 4,641 Jun 18, 2023 #3 Wakikwambia utawachangia mifuko ya cement?
Mibas JF-Expert Member Joined Apr 3, 2012 Posts 4,196 Reaction score 6,367 Jun 18, 2023 #4 Mwendokasi hio ndugu. Kipande cha Mandela na Uhuru Rd.
Candela JF-Expert Member Joined Aug 12, 2021 Posts 817 Reaction score 2,180 Jun 18, 2023 Thread starter #6 Katkit said: Wakikwambia utawachangia mifuko ya cement? Click to expand... Negative minds