Kwangunyumbani
Member
- Mar 15, 2021
- 6
- 8
Nina shida na jirani anajenga gorofa la sakafu 6, pamoja na underground parking.
Shida kubwa ni kwamba, hajafuata mwongozo wa kuacha nafasi ya kutosha kati ya jengo lake na ukuta unaotutenganisha. Hii sheria inatokea wapi?
Ningependa kuwa na uhakiki wa reference kama kuna member anafahamu. Pia ningependa kujua kama jirani ninaweza kuuliza mwonekano wa jengo.
Ili nifahamu kama baraza zinatazamia upande wangu.
Shida kubwa ni kwamba, hajafuata mwongozo wa kuacha nafasi ya kutosha kati ya jengo lake na ukuta unaotutenganisha. Hii sheria inatokea wapi?
Ningependa kuwa na uhakiki wa reference kama kuna member anafahamu. Pia ningependa kujua kama jirani ninaweza kuuliza mwonekano wa jengo.
Ili nifahamu kama baraza zinatazamia upande wangu.