A
Anonymous
Guest
Hii sio sawa fremu zinajengwa kila sehemu kila kona, hivi wanaohusika na mipango miji wapo kweli? Mji mkubwa kama Dar es Salaam hili limekuwa kiboko, hivi matumizi ya ardhi yapo kweli?
Yaani sasa hvi hakuna maeneo ya makazi na maeneo ya biashara, kila sehemu ni biashara tu mafremu yanajengwa tena bila utaratibu wowote.
Hao wanaotoa vibali vya ujenzi wapo makini kweli?
Yaani sasa hvi hakuna maeneo ya makazi na maeneo ya biashara, kila sehemu ni biashara tu mafremu yanajengwa tena bila utaratibu wowote.
Hao wanaotoa vibali vya ujenzi wapo makini kweli?