Zero Competition
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 347
- 553
Asante sanaKama tayari una kiwanja andaa milioni tano kwa kuanzia, simamia ujenzi na hakikisha vitu vingi unanunua kwenye maduka ya beo nafuu, fanya window shopping kwanza.
Lipia tofaliHabari
Nataka kujenga chumba (master) na sebule pamoja na choo cha nje itanigharimu Tshs ngapi mpaka kufika kwenye renta ?
Karibuni wenye uzoefu
Asante sana nduguLipia tofali
Lipia cement lipia nondo
Shusha mchanga
Lipia na bati kabisa alaf baki na hela ya Fundi m5 itakua imekata
Kama uko dar lakini utanunua hadi mbao
Asante sanaMimi Ni fundi,
Tuwasiliane kwa tathimini
0629361896 - kupiga
0753927572- wasap
Watu wengi watakutisha humu.Habari
Nataka kujenga chumba (master) na sebule pamoja na choo cha nje itanigharimu Tshs ngapi mpaka kufika kwenye renta ?
Karibuni wenye uzoefu
Choo: Kuchimba, kujengea, kufunika, kujengea chumba, mlango, nondo, cement, bati, mbao, ufundi, mchanga, misumari itagharimu 2m. Rooms mbili: tofali 1500, mchanga 300k, cementi mifuko 30,kokoto lori moja, mbao 400k, bati 30, player, skimming , rangi, choo, umeme, maji, milango 3, dirisha5, grill 5, vitasa 3, Blandering, gypsum board 8, ufundi. 10m imekatika.Kama tayari una kiwanja andaa milioni tano kwa kuanzia, simamia ujenzi na hakikisha vitu vingi unanunua kwenye maduka ya beo nafuu, fanya window shopping kwanza.
10M chumba na sebule?Choo: Kuchimba, kujengea, kufunika, kujengea chumba, mlango, nondo, cement, bati, mbao, ufundi, mchanga, misumari itagharimu 2m. Rooms mbili: tofali 1500, mchanga 300k, cementi mifuko 30,kokoto lori moja, mbao 400k, bati 30, player, skimming , rangi, choo, umeme, maji, milango 3, dirisha5, grill 5, vitasa 3, Blandering, gypsum board 8, ufundi. 10m imekatika.
Kuna choo cha kuchimba na kujengea, boss10M chumba na sebule?
Yea but stillKuna choo cha kuchimba na kujengea, boss
Dah kuna watu mna dharau. BladifakeniUmekopa vikoba mil1 unakuja kututambia huku JF wakati choo changu chenyewe kina thamani ya 20ml
Kwa hiyo choo chako kikiwa na thamani ya 20m ndo unadhani kila choo kinajengwa kwa thamani hiyo??Umekopa vikoba mil1 unakuja kututambia huku JF wakati choo changu chenyewe kina thamani ya 20ml
Mkuu umekosea kumdharau hiyo milioni 1 ila hujakosea kwneye thamani ya choo chako, kila mtu anaishi kwa uwezo wakeUmekopa vikoba mil1 unakuja kututambia huku JF wakati choo changu chenyewe kina thamani ya 20ml
Ushamba huu,Umekopa vikoba mil1 unakuja kututambia huku JF wakati choo changu chenyewe kina thamani ya 20ml
Acha ushoga wanaume wanapokua wanaongea vitu seriousUmekopa vikoba mil1 unakuja kututambia huku JF wakati choo changu chenyewe kina thamani ya 20ml
Wanawake mna shida sanaUmekopa vikoba mil1 unakuja kututambia huku JF wakati choo changu chenyewe kina thamani ya 20ml