hatujakuelewa choo chako umemaanisha nn🙄🙄🙄🙄🙄Umekopa vikoba mil1 unakuja kututambia huku JF wakati choo changu chenyewe kina thamani ya 20ml
Kama Utakuwa Muangalifu Sana na Una Maanisha Kujengabjwa kupunguza gharama Nyumba inaweza kuifikisha hadi hapo Kwa Mil. 5.
Ushauri wangu.
Usitie Kandarasi ya Ujenzi Kwa Kampuni kama wanavyofanya wengine, Chukua Mafundi wa Kulipa Kwa Siku, wapo wengi siku hizi. Wasipungue watu na wasaidizi watatu.
Material fanya purchases Mwenyewe hata Mke wako usimuagize.View attachment 1913108
Kwamba matacall yako yanathamani ya 20M[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umekopa vikoba mil1 unakuja kututambia huku JF wakati choo changu chenyewe kina thamani ya 20ml
Choo: Kuchimba, kujengea, kufunika, kujengea chumba, mlango, nondo, cement, bati, mbao, ufundi, mchanga, misumari itagharimu 2m. Rooms mbili: tofali 1500, mchanga 300k, cementi mifuko 30,kokoto lori moja, mbao 400k, bati 30, player, skimming , rangi, choo, umeme, maji, milango 3, dirisha5, grill 5, vitasa 3, Blandering, gypsum board 8, ufundi. 10m imekatika.
Hio ni nyumba unajenga sio choo,eti lenter ni kwenye madirisha tuu?![emoji45][emoji20][emoji30][emoji30][emoji30][emoji20]Kuna vyoo vipya siku hizi vya CULVERTs au pipa la maji unatoboa pande zote ni bei rahisi na vinakaa hadi miaka 10 bila kunyonya
Mimi nimejuta kutojua hii system
Kitu kingine Renta usipige mzunguko wa nyumba nzima
Piga tu katika milango na madirisha utaokoa gharama kubwa sana
Endelea na ujenzi
Hio ni nyumba unajenga sio choo,eti lenter ni kwenye madirisha tuu?![emoji45][emoji20][emoji30][emoji30][emoji30][emoji20]
Peleka usefenge wako huko,kwahiyo lenta kwenye nyumba haina maana?,hio elimu yenyewe unayojivunia ni ya kukaririshwa[emoji57][emoji706]Unajua hata maana ya LINTEL?? Unajua hata kwanini tunaweka LINTEL ??
Unajua hata Building code tunatumia ??
Wabongo mnaujuaji na kukaririshwa vitu hamjui hata kwanini vinafanywa
Peleka usefenge wako huko,kwahiyo lenta kwenye nyumba haina maana?,hio elimu yenyewe unayojivunia ni ya kukaririshwa[emoji57][emoji706]
Tatizo sponsor anakutia jeuriUmekopa vikoba mil1 unakuja kututambia huku JF wakati choo changu chenyewe kina thamani ya 20ml
Onesha umahiri wako hapa kwanza theoretically hapa....!!Mimi Ni fundi,
Tuwasiliane kwa tathimini
0629361896 - kupiga
0753927572- wasap
Kapigwa huyo asikuzingueKwa hiyo choo chako kikiwa na thamani ya 20m ndo unadhani kila choo kinajengwa kwa thamani hiyo??
Hapo kwenye linter usiongopee watu inategemea na aina ya erdhiKuna vyoo vipya siku hizi vya CULVERTs au pipa la maji unatoboa pande zote ni bei rahisi na vinakaa hadi miaka 10 bila kunyonya
Mimi nimejuta kutojua hii system
Kitu kingine lintel usipige mzunguko wa nyumba nzima
Piga tu katika milango na madirisha utaokoa gharama kubwa sana
Endelea na ujenzi
Hapo kwenye linter usiongopee watu inategemea na aina ya erdhi
Kungekua na michoro ingekua rahc sana kukadiria gharama zakeHabari
Nataka kujenga chumba (master) na sebule pamoja na choo cha nje itanigharimu Tshs ngapi mpaka kufika kwenye renta ?
Karibuni wenye uzoefu
Kuna shida mahaliUmekopa vikoba mil1 unakuja kututambia huku JF wakati choo changu chenyewe kina thamani ya 20ml
Hapa ndipo confusion inapo anzia! Juzi nimeongea na kampuni moja ya REAL ESTATE (baada ya kusikia tangazo lao redioni) wanauza nyumba ya vyumba viwili, jiko, choo na sebule ikiwa huko Mwasonga kwa Shilingi 5.5 Milioni! Hii imekaaje wataalamu wangu wa JF!?Watu wengi watakutisha humu.
Mimi nina kauzoefu kidogo kakujenga hivi vijumba vidogo vidogo kwa kijumba hicho mtafute kwanza fundi mweleweshe aina ya material unayotaka kutumia gharama itaongezeka kulingana na sehemu ulipo. Ila kwa hicho kijumba hakitavuka millioni 5 kutegemea na material utakayotumia.
Umekopa vikoba mil1 unakuja kututambia huku JF wakati choo changu chenyewe kina thamani ya 20ml