Ujenzi kwenye kiwanja cha 20 x20 or sqm 400

Ujenzi kwenye kiwanja cha 20 x20 or sqm 400

Naomba kujua kama kiwanja iko kinaweza jenga nyumba ya kisasa na ukapata na parking ya gari mbili(02)? Ukubwa wa vyumba utakuwaje
Kuna mzee alitangaza hapa JF ana vifaa na mbinu ya ujenzi ya "raised floor constructio". Unapata nyumba ya kisasa na eneo la chini lote linabaki wazi kwa kufanyia chochote, iwe parking au hata soko. Nakumbuka zipo nyuzi zake humu pamoja na oicha jukwaa la ujenzi.
. Ntakutafutia nyuzi zake, nikiziona nakuwekea link hapa.
 
Kuna mzee alitangaza hapa JF ana vifaa na mbinu ya ujenzi ya "raised floor constructio". Unapata nyumba ya kisasa na eneo la chini lote linabaki wazi kwa kufanyia chochote, iwe parking au hata soko. Nakumbuka zipo nyuzi zake humu pamoja na oicha jukwaa la ujenzi.
. Ntakutafutia nyuzi zake, nikiziona nakuwekea link hapa.
Tag huo uzi
 
Tag huo uzi
Huu hapa 👇🏾


Huyo mzee kapewa mpaka tuzo kutoka Uingereza baada ya kustaafu. Kaweka whatsapp yake: 0625249605
 
Naomba kujua kama kiwanja iko kinaweza jenga nyumba ya kisasa na ukapata na parking ya gari mbili(02)? Ukubwa wa vyumba utakuwaje
Nyumba kubwa ya vyumba 4 vya kulala, sitting room, dining room, choo bafu jiko nk zinaweza kuhitaji kama 220 square meters, chamber za maji taka, choo/bafu ya nje nafasi itabaki ndogo sana kwa gari 2
 
Mita za mraba 400 kama ni kweli kinafika ukubwa huo;

Acha Presha ;
Unaweza ukatoa hata vyumba 5 (vyote vyoo ndani)
Jumba la kujiachia.
Na humo ukawa na Sebule, Jiko, sehemu ya kulia Chakula,
Choo cha Wageni,Parking ndani ya Uzio wako.

-Sizungumzii Ghorofa hapa
(Nyumba ya chini kuonyesha kuwa SI kiwanja kidogo hata kidogo)

USAHURI:
Mtafute Mbunifu wa kisasa sio wazee,
Napendekea mwenye uzoefu wa angalau miaka 5 na akuonyeshe kazi zake ujiridhishe kwanza.

Kila la kheri Fadha-Mjengo mtarajiwa😉
 
Kuna mzee alitangaza hapa JF ana vifaa na mbinu ya ujenzi ya "raised floor constructio". Unapata nyumba ya kisasa na eneo la chini lote linabaki wazi kwa kufanyia chochote, iwe parking au hata soko. Nakumbuka zipo nyuzi zake humu pamoja na oicha jukwaa la ujenzi.
. Ntakutafutia nyuzi zake, nikiziona nakuwekea link hapa.
Utakuwa umetusaidia wengi sana
 
Utakuwa umetusaidia wengi sana
Huyo mzee nimemsoma hapa JF na namfahamu sana.

Katuja Tanzania hii ni yeye pekee mwenye vifaa vya ujenzi vinsvyokuwezesha K jenga hats bondeni kwa afuu.

Mpaka Waingereza wamemuona wamempa tuzo, inashangaza Watanzania hatumfaham na tuko nae hapa, tena ni mstaafu.

. Hii nchi hatuendelei kwa ujinga, siyo kukosa akili.
 
Huyo mzee nimemsoma hapa JF na namfahamu sana.

Katuja Tanzania hii ni yeye pekee mwenye vifaa vya ujenzi vinsvyokuwezesha K jenga hats bondeni kwa afuu.

Mpaka Waingereza wamemuona wamempa tuzo, inashangaza Watanzania hatumfaham na tuko nae hapa, tena ni mstaafu.

. Hii nchi hatuendelei kwa ujinga, siyo kukosa akili.
acha kuwa muongo
 
Naomba kujua kama kiwanja iko kinaweza jenga nyumba ya kisasa na ukapata na parking ya gari mbili(02)? Ukubwa wa vyumba utakuwaje
Mimi nimejenga kwenye 400sqm. Nyumba ni kubwa ya familia. Ina sebule, sehemu ya chakula, vyumba 3 (vyote self-contained), jiko na stoo, pamoja na study room. Chumba cha baba na mama kina ukubwa wa futi 12*12. Viingine vina 12*10.

Nisingeweka washrooms kwenye hivyo vingine, basi navyo vingekuwa vikubwa zaidi. Nje nina space ya gari mbili na zinakaa vizuri tu. Kabla ya kujenga ni lzm uwe na fundi na muone hiyo nyumba ikae upande gani na wapi kuwe na sehemu ya parking.
 
Back
Top Bottom