Nile_house_designs
JF-Expert Member
- Nov 13, 2020
- 402
- 483
- Thread starter
-
- #401
View attachment 3260770
View attachment 3260771
Karibu Nile house designs π π
Tunatoa huduma za kitaalamu za usanifu wa nyumba za kisasa, majiko ya kuvutia, na maeneo ya biashara yanayovutia wateja. Tunahakikisha kila mradi unakidhi viwango vya ubora, unafaa bajeti yako, na unazingatia mahitaji yako ya kipekee. Kazi zetu zina ubunifu wa hali ya juu na hutolewa kwa wakati unaofaa.
Wasiliana nasi leo kwa huduma bora na za uhakika!
Simu: [0715477041]
Ni muhimu kwenda site mkuu, maana design itategemea na ukubwa na nature ya eneo lilivyo.Huwa mnachukua muda gani kumdizainia mtu ramani nyumba ya kawaida ya makazi
Yaani mpaka niipate ramani ya nyumba itachukua muda gani
Na je ni muhimu kwenda site..!?
Ungeweka na estimations za gharama ingesaidia sana.3 bedroom house (two self contained)
dining
super lounge
kitchen
store
Library
affordable price!!
tupigie ## 0715477041
Drawings can be adjusted to meet client's ideas
(michoro yaweza rekebishwa kukidhi matakwa ya mteja)
## picha zote zimetengenezwa na nile house design ( no copied images)
View attachment 1700063
Kazi zuri san dogo! Nimekuwekea ya kwangu huko PM utanifanyia bei gani?UJENZI: Let us transform your design ideas into reality: NILE HOUSE DESIGNS (nilehousedesigns on instagram).
Karibu tukutengenezee nyumba ya ndoto yako, tuambie unataka nini na sisi tutaboresha wazo lako.
Kwa bei poa kabisa utapata design yako
Baadhi ya kazi zetu
Affordable price
View attachment 1760377
View attachment 1760376
tupigie /WhatsApp ## 0715477041
Drawings can be adjusted to meet client's ideas
(michoro yaweza rekebishwa kukidhi matakwa ya mteja)
## picha zote zimetengenezwa na nile house design ( no copied images)
]
View attachment 2296830View attachment 2296831
View attachment 2301903View attachment 2301904View attachment 2987400View attachment 2987399View attachment 2987398View attachment 1699654View attachment 1699651
250mUngeweka na estimations za gharama ingesaidia sana.
Ipi mkuuKazi zuri san dogo! Nimekuwekea ya kwangu huko PM utanifanyia bei gani?
Karibu sana boss.Ipi mkuu