Ujenzi na Siasa UNIVERSITY OF DODOMA

Hebu fafanua mwaka gani Mlimani ilikuwa kati ya vyuo vikuu 100 duniani na kwa ranking gani?
Hakijawahi kuwa hata kwenye 500 bora.wanazua tu kuwa ni chuo bora duniani sio kweli.
 
Kwani Ubora wa Elimu ni nini?? Mbona wakati huu wale Princenton Preview wamekiweka Chuo cha Kijeshi West Point Academy kuwa chuo bora, kupima vyuo wanatofautiana sana na taasisi zenyewe
 
haiondoi ukweli kuwa ni mradi ambao CCM inaweza kujivunia sana

in the meantime wanafunzi wanasoma pale vizuri tuu
BWM alikuwa na ndoto njema katika hilii..nampongeza sana kwa kusimamiaa uanzishwaji wa UDOM...
 
haiondoi ukweli kuwa ni mradi ambao CCM inaweza kujivunia sana

in the meantime wanafunzi wanasoma pale vizuri tuu


Game Theory
Naona unakuwa excessively jubilant bila sababu.


UDOM bado haijafikia kiwango cha University unayowazia ktk message yako. Usisifie majengo na ghafla kugeukia uzuri wa CCM na utekelezaji wa ilani.

Where on earth ambako waliwahi kujenga chuo cha wanafunzi 40,000 kwa miaka 5? This was simply a stupid ambition and poor planning. Wewe ukipewa nafasi kweli unaweza ukaanza na majengo makubwa bila maandalizi ya walimu? Hata hilo kweli ni gumu kulipanga?

Tusilazimishe sifa kwa CCM na ilani. UDOM tunaifahamu, batch ya kwanza, na ya pili na hata hiyo ya tatu they are nothing. Wengine tumekaa nao maofisini wakifanya field work. They are nothing! nothing!

Hawana waalimu. Wachache waliopo wanazidiwa na idadi kiasi kwamba mwalimu anasahihisha karatasi za wanafunzi 5,000! Sasa hivi wanahitaji waalimu wapya 600! Watawatoa wapi? India? Sawa lakini kila aliyetoka India imekuwa ni kichekesho kwa wanafunzi, nje na hata ndani ya darasa. Na hapo ndo nasema it was the poorest planning tangu mwanzo.

Tusichanganye siasa na utekelezaji wa kitaalamu na kitaaluma. CCM ilistahili kuishia kwenye niya na kuwaachia wataalamu wapange nini kianze na iwe lini.

Je ilani pia ilisema wanafunzi dhaifu wasifukuzwe? Una habari kwamba UDOM hakuna Discontinuation, at least in practice? Siasa hiyo, wafikie 40,000.
 
Kuwa Critical katika elimu ni wewe mwenyewe, ndio maana mimi nasema kuwa kuna haja ya Wizara ya Elimu kuweka mipango ya kufanya Watanzania wazalendo kurudi na kufundisha katika vyuo vyetu
 
Kuwa Critical katika elimu ni wewe mwenyewe, ndio maana mimi nasema kuwa kuna haja ya Wizara ya Elimu kuweka mipango ya kufanya Watanzania wazalendo kurudi na kufundisha katika vyuo vyetu

Let us not sound like Kingunge at his decelerating growth.

Kweli unaweza Dunia hii ukawapata hao watanzania wazalendo? Wako wapi? Tangu tumeanza kuwaita walishapatikana? Which message are you getting from that?

Tangu Rais mpaka hao watendaji wake wa chini kuna anayeweza kuita wazalendo? Nadhani Una maanisha wajinga warudi nyumbani. Can anybody be back just for the sake of Mzalendo?

Back to our topic: UDOM is not yet successful, and so, not yet a dream University. Kama ni majengo yatakwisha lakini kwa hali iliyopo tunawaponza wa-TZ wenzetu wanaokimbilia hapo kusoma.
 
Kwanini unasema hivyo?? Hata kama ukichukua miaka hata 20 hivi lakini kila kitu kinaanza taratibu na hatimaye tutafika huko tunapokwenda
 
BWM alikuwa na ndoto njema katika hilii..nampongeza sana kwa kusimamiaa uanzishwaji wa UDOM...

Umeshakuwa mtumwa wa BWM kifikra.Huo ni mradi wa CCM na ilani yake kama ni BWM alikuwa akifanya kile alichoelekezwa na Chama.

Hata Jk naye anafuata ilani tu so whats the big deal with fisadi No.1.?
 
Umeshakuwa mtumwa wa BWM kifikra.Huo ni mradi wa CCM na ilani yake kama ni BWM alikuwa akifanya kile alichoelekezwa na Chama.

Hata Jk naye anafuata ilani tu so whats the big deal with fisadi No.1.?
Inakupasa nyinyi wote waende kwenye active politics na sio sasa hivi mnabaki kuandika tu hapa JF
 
Kuwa Critical katika elimu ni wewe mwenyewe, ndio maana mimi nasema kuwa kuna haja ya Wizara ya Elimu kuweka mipango ya kufanya Watanzania wazalendo kurudi na kufundisha katika vyuo vyetu

Wote(well wishers) tunapenda iwe hivyo but it is not practical. Mwalimu gani alie rational ktk maamuzi yake ataacha kula bata huko aliko arudi kwenye mazingira duni na mishahara hafifu? Chuo kiandae mikakati ya kudumu. This is a long time plan,kama anavyosema GT kua kabla ya kudeal na hizo structures wainvest kwanza kwa waalimu. Structure inaweza ikajengwa haraka tu usiku na mchana lakini sio waalimu. WAY FORWARD: Warecruite masters degree holders kwa lengo la kuwasomesha PhD,wapo wamejaa tele mtaani watu wa daraja hili kwa sasa. Wawape mikataba ya kufanya kazi chuoni for a certain period of time upon completion of their PhDs. Kabla ya mkataba kwisha wawe wameshajua nani wanaendelea na mkataba na nani wataacha ili kuandaa an equal number of replacement. Sio tu kututajia statistical figure za kwamba chuo kinachukua wanafunzi wa idadi fulani wakati quality is being compromised.
 
universirty of dar including muchs, ulcas, duce, muce ina wanafunzi 19,650 na walimu 1045.
ni mazingaombwe gani yatatumika kufikisha wanafunzi 40,000 kwa miaka mitano na kuajiri walimu wa kutosha, na chuo kikawa kinafanya vizuri
university haijazwi bali inakuwa
 
nampongeza mtoa wazo (BWM) kwa kuwa visionary na kuhakikisha chuo kinaanzaaa....

Mkapa asigijiingiza katika usisadi tungemtukuza kweli ,aliyofanya yanasifika ,mradi wa maji kahama/shy UDOM, roads lakini du!!!!
 
Mkapa asigijiingiza katika usisadi tungemtukuza kweli ,aliyofanya yanasifika ,mradi wa maji kahama/shy UDOM, roads lakini du!!!!
Wewe huoni kuwa kwa kuharibika kwa Ben sifa kwa Jk?? maana sasa nyingine unaweza kusema kuwa mambo haya yanaanzia wapi??
 
Hapa tumezoea kukandia tu lakini kwa hili la Udom Bravo JK
 
haiondoi ukweli kuwa ni mradi ambao CCM inaweza kujivunia sana

in the meantime wanafunzi wanasoma pale vizuri tuu

CCm wajivunie huo mradi wa UDOM kwa misingi gani?? Hizo fedha zinazotumika kukijenga hicho chuo sio michango ya wanaCCm bali ni pension funds za wafanyakazi wote wakiwamo wanachadema, wanacuf etc. Kwa mtindo huu huu CCM imewaibia wadanganyika viwanja vya michezo ambavyo vilijengwa na wananchi wa itikadi zote na wao sasa wanasema ni mali ya CCM peke yao!! Some one needs to take these people to court to answer for this theft.
 
Usilaumu sana, consultants wanakimbizwa na wanasiasa bila kuangalia hali halisi nao wanataka hela hawawezi acha.

Mkuu naomba ufafanuzi juu ya kauli hii "Usilaumu sana.."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…