Ujenzi Unakamilika Magomeni Kota

Ujenzi Unakamilika Magomeni Kota

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Pongezi Serikali Ya awamu ya tano chini ya Rais Magufuli Kwa Kutoa Tsh Bilioni 9 kugharamia Ujenzi huo

FB_IMG_16069873664109264.jpg
FB_IMG_16069873458567356.jpg
FB_IMG_16069873399410328.jpg
 
Kuna watu wanaomba tetemeko la ardhi lipite na nyumba zote zibomoke, eneo liwe tambalale. Ili warudie au waendelee na ile hoja yao kwamba serikali hii haijafanya chochote.
 
Serikali inawajibika.
Ila wasitumie nguvu nyingi kuwakamua mapesa wananchi wake ili tu hayo majengo yakamilike.
 
Serikali tiyari imeanza kupokea maombi kwa wanaohitaji kupangisha ama kununua
 
wanarudi walewale waliotolewa hapo familia 644 watakaabure miaka mitano
Hamna cha bure ile ni biashara mkuu. serikali imeweka pesa zake pale inatakiwa irudi[emoji3]
 
Back
Top Bottom