Naomba kuuliza, je, banda la kuku wa kienyeji na chotara linahitaji madirisha makubwa sana au ya kawaida tu?
Na katika madirisha hayo, yakiwa wazi halafu kipindi cha masika mvua ya upepo ikanyesha na maji kuingia ndani ya banda.
Je, kuku hawawezi kudhurika baada ya kuloana? Au inabidi kipindi cha mvua kuziba madirisha? Kwenu wataalamu
Na katika madirisha hayo, yakiwa wazi halafu kipindi cha masika mvua ya upepo ikanyesha na maji kuingia ndani ya banda.
Je, kuku hawawezi kudhurika baada ya kuloana? Au inabidi kipindi cha mvua kuziba madirisha? Kwenu wataalamu