Mgoyangi
Senior Member
- Feb 6, 2008
- 184
- 9
Katika Mzungumzo na rafiki yangu mmoja mgeni inaelekea hapa kwetu gharama za barabara ni aghali zaidi kuliko katika nchi nyignine za Afrika Mashariki.
Nachofahamu barabara ya rami kwa kilomita moja ilikuwa shilingi milioni 600 kwa kilometa, ila siwezi kushangaa ikiwa imefika bilioni moja kwa wakati huu.
Mwenye uwelewa katika nchi nyingine wanafanya nini anaweza kutufahamisha hapa. Ingawa kwa kuchagua makandarasi bomu hatujambo, Sietco walitimuliwa Uganda baada ya kushindwa kazi na kukiri kutoa rushwa -- 30% ya gharama za mradi kwa mabwana wakubwa -- lakini sisi hapa tukawapokea, wakashindwa kasi barabara ya singida nzega lakini bado tukawabeba
Nachofahamu barabara ya rami kwa kilomita moja ilikuwa shilingi milioni 600 kwa kilometa, ila siwezi kushangaa ikiwa imefika bilioni moja kwa wakati huu.
Mwenye uwelewa katika nchi nyingine wanafanya nini anaweza kutufahamisha hapa. Ingawa kwa kuchagua makandarasi bomu hatujambo, Sietco walitimuliwa Uganda baada ya kushindwa kazi na kukiri kutoa rushwa -- 30% ya gharama za mradi kwa mabwana wakubwa -- lakini sisi hapa tukawapokea, wakashindwa kasi barabara ya singida nzega lakini bado tukawabeba