Ujenzi wa barabara kuanzia Kibaha/Tamco/ Kidimu/ hadi Mapiga wapamba moto

Ujenzi wa barabara kuanzia Kibaha/Tamco/ Kidimu/ hadi Mapiga wapamba moto

zandrano

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2017
Posts
7,893
Reaction score
8,816
Baada ya kusuasua kwa muda mrefu sasa barabara hiyo inaenda kwa kasi kubwa chini ya Mkandarasi mpya Kings Builders.

Wananchi wanaridhika kwa kasi ya ujenzi unaoendelea kwa sasa.

Pongezi wa waziri wa Ujenzi pamoja na uongozi wa Tanroad Mkoa wa Pwani.

Barabara hii ni muhimu sana kwani ndio kiunganishi cha wilaya ya Bagamoyo na vitongoji vyake lakini pia maeneo ya Bunju, Tegeta n.k.

Endapo barabara hii itakamilika basi wananchi watawahi kufika hospotali ya Muhimbili Mloganzila.

Ahsante Rais wetu Dr. Samia.

Kazi iendelee.
 
Kabla hujatoa sifa eleza ni Nani alisababisha ikasuasua?
 
Kabla hujatoa sifa eleza ni Nani alisababisha ikasuasua?
hilo liko wazi, ni mkandarasi aliye kuwepo hapo mwanzo ndio maana alitolewa na kuweko mwengine.
Huyu mkandarasi wa sasa anachapa kazi na ana vifaaa vya kutosha.

Nimepiga kambi maeneo haya kufuatilia ujenzi unavyo endelea.
 
Back
Top Bottom