Ujenzi wa barabara ya Mombasa-Nairobi kukamilika baada ya miezi 60

Ujenzi wa barabara ya Mombasa-Nairobi kukamilika baada ya miezi 60

Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2021
Posts
577
Reaction score
2,595
Mamlaka inayo simamia ujenzi wa barabara hiyo inayo unganisha mji wa Mombasa na Nairobi imesema kuwa ujenzi rasmi utaanza baada ya kukamilika kwa upembuzi yakinifu wa muundo wake pamoja na kupatikana mkandarasi atakaye fanya kazi hiyo.

5679C09E-1F3C-40A6-B31F-E7C623628446.jpeg


Kauli hii inakuja muda mfupi baada ya kuzuka kwa tetesi kuwa mkandarasi wa kwanza mwenye asili ya Marekani amebadilishwa na tenda hiyo kupewa kampuni nyingine kutoka Korea.

Ujenzi wa barabara hiyo yenye kilomita 473 utachukua kipindi cha miezi 60 (miaka 5) hadi kukamilika kwake.

CITIZEN
 
... hizi ndio aina ya barabara ambazo serikali inatakiwa ku-focus especially maeneo yenye high traffic like Dar - Morogoro; Moshi - Arusha; etc. Kwingine iwe double roads kwa trunk roads.
 
Back
Top Bottom