Ujenzi wa boma la nyumba

Ujenzi wa boma la nyumba

FLAMMARION23

Member
Joined
Sep 28, 2017
Posts
21
Reaction score
3
Habari wana Jf,

Nilikuwa nataka nianze ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu jiko sebule na dinning sasa.

Swali langu ni kwa nikipi kina bei nafuu kununua matofari ya kuchoma au kufyatua matofari ya block mwenyewe kwa kujengea.

Mimi nipo Morogoro.
 
Habalin wana jf nilikuwa nataka nianze ujenzi Wa nyumba ya vyumba vitatu jiko sebule na dinning sasa
Swali langu ni kwa nikipi kina bei nafuu kununua matofari ya kuchuma au kufyatua matofari ya block mwenyewe kwa kujengea
Mimi nipo morogoro
Msaada jamani.
 
Nakushauri kwa nyumba ya vyumba vitatu tofali za kuchoma elfu 4 na mia tano zinatosha kabisa.
 
Back
Top Bottom