Ujenzi wa CCM Mpya Ullisha au mliishiwa Vifaa vya Ujenzi?

Ujenzi wa CCM Mpya Ullisha au mliishiwa Vifaa vya Ujenzi?

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Dah, nimekaa zangu hapa home nafurahia kalikizo kangu kafupi haka nikakumbuka watani zangu hawa kuwa waliwahi kuimba wimbo wa UJENZI WA CCM MPYA.

Mimi siasa chafu sizipendi sasa nawauliza jamaa zangu hawa, ule ujenzi uliisha? Mmefikia wapi kwenye ujenzi au umesimama kidogo? Au Mkandarasi akingia mitini? CCM mpya, CCM mpya.

Yule Waziri wa CCM aliyesema tutaacha kununua mitumba na kuvaa vitu brand new OG kabisa kabisa imeishia wapi? Karibuni Juice ya tende.
 
Mkuu pambana umtoe mbowe kwenye ugaidi achana na mambo ya ccm
 
Dah, nimekaa zangu hapa home nafurahia kalikizo kangu kafuoi haka nikakumbuka watani zangu hawa kuwa waliwahi kuimba wimbo wa UJENZI WA CCM MPYA. Mimi siasa chafu sizipendi sasa nawauliza jamaa zangu hawa, ule ujenzi uliisha? Mmefikia wapi kwenye ujenzi au umesimama kidogo? Au Mkandarasi akingia mitini? CCM mpya, CCM mpya.....

Yule Waziri wa CCM aliyesema tutaacha kununua mitumba na kuvaa vitu brand new OG kabisa kabisa imeishia wapi? Karibuni Juice ya tende
Ujenzi umesimamia tofali zimeishia tofali nne kuelekea usawa wa madirisha,wameshtuka mkandarasi kachakachua tofali, wanajadili wabomoe waanze upya na tofali imara, au wafanyeje? Kwani Wana kijani wao wanasemaje?
 
Kwani wana CCM wenyewe wamelalamika!?
 
Mkuu pambana umtoe mbowe kwenye ugaidi achana na mambo ya ccm

Watu wanafanya siasa za online twita na jf hawawezi mpambania mbowe
Wao wanasikilizia tuu vitu kitokee huko wao waje wasuport nyuma ya keyboard
 
Kwani wakati wa kubambikia na nyie mlienda front au mlikaa nyuma ya keyboard.

Tangu lini segerea na kisutu zikawa nyuma ya keyboard
Btw mimi si mwanachama wa chama chochote cha siasa ila Tanzania upo upinzaniJina tuu
Chadema Kuwa wanasiasa mwenye kuweza kuleta mabadiliko sio lelemama
 
Hahahha yule tumeamua hatutamtoa, tunataka POLISI hasa IGP aliyesema ana ushahidi AENDE Mahakamani akaeleze huo ushahidi, this time tutazaaa na POLISI, lazima tuwabebeshe mzigo ili next time wasiwe na akili za CCM
Mikwara yenu utafikiri watu kweli
 
Watu wanafanya siasa za online twita na jf hawawezi mpambania mbowe
Wao wanasikilizia tuu vitu kitokee huko wao waje wasuport nyuma ya keyboard
Ukiwaona wanavyopiga mikwara huku jf na twitter utafikiri ni watu kweli kumbe bure tu
 
Dah, nimekaa zangu hapa home nafurahia kalikizo kangu kafuoi haka nikakumbuka watani zangu hawa kuwa waliwahi kuimba wimbo wa UJENZI WA CCM MPYA. Mimi siasa chafu sizipendi sasa nawauliza jamaa zangu hawa, ule ujenzi uliisha? Mmefikia wapi kwenye ujenzi au umesimama kidogo? Au Mkandarasi akingia mitini? CCM mpya, CCM mpya.....

Yule Waziri wa CCM aliyesema tutaacha kununua mitumba na kuvaa vitu brand new OG kabisa kabisa imeishia wapi? Karibuni Juice ya tende
Waligawana mbao na vifaa vingine vya ujenzi [emoji23]
 
Pale kisutu juzi walikua watano tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]Nlicheka sana walivyotawanyika kama sisimizi baada ya polisi kuingia katikati yao
 
Back
Top Bottom