Ujenzi wa Daraja la Magufuli wafikia Asilimia 90

Ujenzi wa Daraja la Magufuli wafikia Asilimia 90

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
WhatsApp Image 2024-08-12 at 12.42.12_23a8f832.jpg

WhatsApp Image 2024-08-12 at 12.42.11_4d972e8f.jpg


Meneja wa TANROADS Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Paschal Ambrose amemshukuru Waziri Innocent Bashungwa kwa kuendelea kutoa msukumo ili kazi mbalimbali zinazoendelea za ujenzi katika daraja hilo ziweze kukamilika na kumueleza kuwa hadi kufika mwisho wa mwezi Agosti wananchi wataruhusiwa kupita juu ya daraja huku Mkandarasi akiendelea kukamilisha kazi zilizobakia na kukabidhi Daraja hilo ifikapo mwishoni mwa Disemba, 2024.

Mwonekano wa Ujenzi wa Daraja la J.P Magufuli (Kigongo - Busisi) Kilometa 3.2 linalojengwa kuunganisha Barabara Kuu ya Usagara - Sengerema - Geita kupita Ziwa Victoria na ujenzi wa barabara unganishi ya Kilometa 1.66 ambapo utekelezaji unaendelea na upo asilimia 90.

Mradi huu unagharamiwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania kwa shilingi Bilioni 716.3 zikijumuisha Malipo ya Mkandarasi, Mhandisi Mshauri wa usimamizi wa mradi, Fidia na Usanifu. (Picha na Wizara ya Ujenzi).



WhatsApp Image 2024-08-12 at 12.42.10_07f23208.jpg

WhatsApp Image 2024-08-12 at 12.42.08_88d6cd6f.jpg

WhatsApp Image 2024-08-12 at 12.42.09_87a8342e.jpg
 

Meneja wa TANROADS Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Paschal Ambrose amemshukuru Waziri Innocent Bashungwa kwa kuendelea kutoa msukumo ili kazi mbalimbali zinazoendelea za ujenzi katika daraja hilo ziweze kukamilika na kumueleza kuwa hadi kufika mwisho wa mwezi Agosti wananchi wataruhusiwa kupita juu ya daraja huku Mkandarasi akiendelea kukamilisha kazi zilizobakia na kukabidhi Daraja hilo ifikapo mwishoni mwa Disemba, 2024.

Mwonekano wa Ujenzi wa Daraja la J.P Magufuli (Kigongo - Busisi) Kilometa 3.2 linalojengwa kuunganisha Barabara Kuu ya Usagara - Sengerema - Geita kupita Ziwa Victoria na ujenzi wa barabara unganishi ya Kilometa 1.66 ambapo utekelezaji unaendelea na upo asilimia 90.

Mradi huu unagharamiwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania kwa shilingi Bilioni 716.3 zikijumuisha Malipo ya Mkandarasi, Mhandisi Mshauri wa usimamizi wa mradi, Fidia na Usanifu. (Picha na Wizara ya Ujenzi).


View attachment 3068055
View attachment 3068014
 

Meneja wa TANROADS Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Paschal Ambrose amemshukuru Waziri Innocent Bashungwa kwa kuendelea kutoa msukumo ili kazi mbalimbali zinazoendelea za ujenzi katika daraja hilo ziweze kukamilika na kumueleza kuwa hadi kufika mwisho wa mwezi Agosti wananchi wataruhusiwa kupita juu ya daraja huku Mkandarasi akiendelea kukamilisha kazi zilizobakia na kukabidhi Daraja hilo ifikapo mwishoni mwa Disemba, 2024.

Mwonekano wa Ujenzi wa Daraja la J.P Magufuli (Kigongo - Busisi) Kilometa 3.2 linalojengwa kuunganisha Barabara Kuu ya Usagara - Sengerema - Geita kupita Ziwa Victoria na ujenzi wa barabara unganishi ya Kilometa 1.66 ambapo utekelezaji unaendelea na upo asilimia 90.

Mradi huu unagharamiwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania kwa shilingi Bilioni 716.3 zikijumuisha Malipo ya Mkandarasi, Mhandisi Mshauri wa usimamizi wa mradi, Fidia na Usanifu. (Picha na Wizara ya Ujenzi).


View attachment 3068055
View attachment 3068014
Hili daraja linalotoka kusikoeleweka kwenda kusikoeleweka limetugharimu sana Watanzania!
 
Ilikuwa ukifikuwa ukifika pale daraja linapojengwa unasubiri kivuko kwahyo unajikuta unapoteza almost masaa mawili kwahyo likikamilika itakuwa ni swala la kuvuka kwa dakika nne tu kwahyo badala yakutumia masaa sita Bukoba to mwanza itakuwa masaa manne
Eleza vizuri....
Tuelewe sisi huku kusini
a
 
Litakuwa bure au TOZO kama la NSSSF kigamboni
 

Meneja wa TANROADS Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Paschal Ambrose amemshukuru Waziri Innocent Bashungwa kwa kuendelea kutoa msukumo ili kazi mbalimbali zinazoendelea za ujenzi katika daraja hilo ziweze kukamilika na kumueleza kuwa hadi kufika mwisho wa mwezi Agosti wananchi wataruhusiwa kupita juu ya daraja huku Mkandarasi akiendelea kukamilisha kazi zilizobakia na kukabidhi Daraja hilo ifikapo mwishoni mwa Disemba, 2024.

Mwonekano wa Ujenzi wa Daraja la J.P Magufuli (Kigongo - Busisi) Kilometa 3.2 linalojengwa kuunganisha Barabara Kuu ya Usagara - Sengerema - Geita kupita Ziwa Victoria na ujenzi wa barabara unganishi ya Kilometa 1.66 ambapo utekelezaji unaendelea na upo asilimia 90.

Mradi huu unagharamiwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania kwa shilingi Bilioni 716.3 zikijumuisha Malipo ya Mkandarasi, Mhandisi Mshauri wa usimamizi wa mradi, Fidia na Usanifu. (Picha na Wizara ya Ujenzi).


View attachment 3068055
View attachment 3068014

Meneja wa TANROADS Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Paschal Ambrose amemshukuru Waziri Innocent Bashungwa kwa kuendelea kutoa msukumo ili kazi mbalimbali zinazoendelea za ujenzi katika daraja hilo ziweze kukamilika na kumueleza kuwa hadi kufika mwisho wa mwezi Agosti wananchi wataruhusiwa kupita juu ya daraja huku Mkandarasi akiendelea kukamilisha kazi zilizobakia na kukabidhi Daraja hilo ifikapo mwishoni mwa Disemba, 2024.

Mwonekano wa Ujenzi wa Daraja la J.P Magufuli (Kigongo - Busisi) Kilometa 3.2 linalojengwa kuunganisha Barabara Kuu ya Usagara - Sengerema - Geita kupita Ziwa Victoria na ujenzi wa barabara unganishi ya Kilometa 1.66 ambapo utekelezaji unaendelea na upo asilimia 90.

Mradi huu unagharamiwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania kwa shilingi Bilioni 716.3 zikijumuisha Malipo ya Mkandarasi, Mhandisi Mshauri wa usimamizi wa mradi, Fidia na Usanifu. (Picha na Wizara ya Ujenzi).


View attachment 3068055
View attachment 3068014
Kazi nzuri! Mwezi uliopita lilitusaidia kuokoa muda. Tulipata "upendeleo" kulitumia Usiku badala ya kusubiria feri. Tulitumia dakika kama tano kuvuka.
 

Attachments

  • IMG_20240727_203334_254.jpg
    IMG_20240727_203334_254.jpg
    5.4 MB · Views: 5
Lazima waharibu na uzalendo uchwara. Sasa rangi za bendera kwenye cables ni za nini? Na la Tanzanite waliweka limwenge!!
 
RIP JPM.

Bukoba watu watateleza tu sasa, kampala itaendeka kirahisi, Geita itafikika kirahisi.

SGR ikikamilika, Wahaya watakuwa wanaamka Dar wanalala Bukoba.

Hii ndio maana sasa ya kuspeed-up production na watu kuona kazi za Kodi zao sio uhuniuhuni wa miradi isiyoeleweka.
 
Back
Top Bottom