Ujenzi wa Hospitali ya kisasa ya Wilaya ya Kinondoni unaendelea Kwa kasi Mabwepande

Picha inajieleza vema kabisa

Ujenzi wa hospitali ya Wilaya ya Kinondoni umeshika kasi sana na upo mbioni kukamilika

Matumizi sahihi ya rasilimali zetu huleta matokea chanya

Hongera Rais Dkt John Magufuli kwa kutimiza ahadi
Utadhan mabweni ya wanafunzi
 
Kwani si tumekubaliana tunarudi kwenye tiba asili ama?

Hayo mabilioni yangeelekezwa kwenye tafiti za tiba asili tuu!
Ni kweli kwenye utawala wa saccos tutaona matumizi sahihi kama wanavyo fanya kwenye saccos
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…