Valenciaga
Member
- Jul 4, 2020
- 44
- 61
Ndiyo mkuu upoUna uwanja wa kujenga hicho chumba?
Ndiyo mkuu upo
Udongo tifutifu eneo tambarare
Sawa brooTafuta fundi, mpeleke eneo la tukio, akufanyie mahesabu, Kwenye hio 3mil, Unamaliza chumba kimoja maji na umeme juu yake, kama itaongezeka kidogo ni Ujira wa fundi
Fundi ujenzi huwa hakatai kazi aseeTatizo gharama za Choo zipo constant, iwe unajenga nyumba ya vyumba 4 au kimoja, mfumo wa Choo unamaliza sana hela
Lakini ukijipanga chumba kimoja kizuri kinajengeka
Pia mimi huwa siwaamini mafundi kwa asilimia zote, anaweza kukwambia hiyo hela inatosha kumbe lengo lake apate kazi, mjengo utakapoishia hapo hapo yeye hana hasara
Fundi ujenzi huwa hakatai kazi asee
Nafikiri kujenga choo Cha shimo na mabanzi kwa muda kwanza huku nikijipanga taratibuTatizo gharama za Choo zipo constant, iwe unajenga nyumba ya vyumba 4 au kimoja, mfumo wa Choo unamaliza sana hela
Lakini ukijipanga chumba kimoja kizuri kinajengeka
Pia mimi huwa siwaamini mafundi kwa asilimia zote, anaweza kukwambia hiyo hela inatosha kumbe lengo lake apate kazi, mjengo utakapoishia hapo hapo yeye hana hasara
Lakini yeye anasema anataka kujenga chumba kimoja tu, Huwezi jua malengo yake kwa baadae ni nini? Akiacha wazo lake la chumba kimoja na kuanza kufikiria vyumba zaidi ya kimoja tayari lengo lake la kukaa kwake hataweza kulifikia kwa Sababu 3ml ni ela nyingi lakini ni ndogo kulingana na uamuzi atakaochukua.Kama unalipa laki moja kodi kwa mwezi inaonesha kipato chako ni kizuri. Kwanini usijibane uongeze kidogo mkuu? gharama ya kujenga nyumba ndogo au chumba ni kubwa kuliko ya kujenga vyumba viwili au nyumba kubwa. sijui kama utaelewa
Kabisa. Anakuaminisha kazi ni simple, anza sasa, utajuta kumuamini
Nafikiri kujenga choo Cha shimo na mabanzi kwa muda kwanza huku nikijipanga taratibu
Uko Dar au mkoani?Ndiyo mkuu upo
Udongo tifutifu eneo tambarare
BadoFundi ameniambia tofali 650
Mchanga 2 cement 15 bati 16-18
Mawe Lori moja, maji nilipo ni bure, kibarua ni Mimi mwenyewe, Ela ya Fundi Hadi paa 200k siku tatu tunapiga Hadi lenter, madirish mawili na mlango mmoja vyote used, kibanda tayari.View attachment 1504411
Mkoani mkuuUko dar au mkoani?