Bati nishasema hivyo vingine ni vitu vidogo vidogo navimuduBado
-Mbao za kupaua
-Mbao za linta
-bati
-misumari ya kenchi na bati
-binding waya
NB:
mkoa gani upoMkoani mkuu
Kilimanjaro moshimkoa gani upo
mi nipo kibosho nicheki nikupe wazo hata kesho mkuuKilimanjaro moshi
Unakiwanja...?Habari wakuu,
Je, milioni tatu naweza kupata kibanda cha kuishi nimechoka kupanga, huwa nalipa 100k kwa mwezi naona kama nikipata kibanda cha kuishi nitapunguza matumizi?
Inawezekana kabisa kwa hiyo 3mil.Mkoani mkuu
Ndiyo kipoUnakiwanja...?
Kwatope ukiwa na maana gani?Inawezekana kabisa kwa hiyo 3mil.
Hakikisha unajenga kwa tope, ila usifunge linta.
Paua paa la slope kwa mbao chache na bati chache.
Mbona ni kazi rahisi sana..Ndiyo kipo
Kwa nini usimpe hilo wazo hapa jukwaani kama yeye alivyofanya kwa msaada kwa wengine pia??mi nipo kibosho nicheki nikupe wazo hata kesho mkuu
hapana mkuu mi nataka tu nimsaidie kwenye ujenzi nione na iyo site yake kwa nia njema, kimsingi nyumba ya mil 3 inatosha kuhamia kabisa mfano chumba cha futi 10 kwa 10 kimoja kinagharimu laki 3.5 mpaka lenta kwa tofali na mchanga plus cement sasa nimeona milioni tatu inatosha vyumba viwili na sebule ila hawezi kuweka dirisha kote maana dirisha zuri la security+ aluminium ni laki 3 bati igharimu za milioni 1 + mbao.Kwa nini usimpe hilo wazo hapa jukwaani kama yeye alivyofanya kwa msaada kwa wengine pia??
Isijekuwa habari za ukiweka million tatu baada ya mwezi unapata million sita.
Kama unalipa laki moja kodi kwa mwezi inaonesha kipato chako ni kizuri. Kwanini usijibane uongeze kidogo mkuu? gharama ya kujenga nyumba ndogo au chumba ni kubwa kuliko ya kujenga vyumba viwili au nyumba kubwa. sijui kama utaelewa
Umeona, ndiyo maana niliomba uweke hapa wazo lako. Limemsaidia mleta uzi bali hata mimi binafsi na naamini na wengine pia.hapana mkuu mi nataka tu nimsaidie kwenye ujenzi nione na iyo site yake kwa nia njema, kimsingi nyumba ya mil 3 inatosha kuhamia kabisa mfano chumba cha futi 10 kwa 10 kimoja kinagharimu laki 3.5 mpaka lenta kwa tofali na mchanga plus cement sasa nimeona milioni tatu inatosha vyumba viwili na sebule ila hawezi kuweka dirisha kote maana dirisha zuri la security+ aluminium ni laki 3 bati igharimu za milioni 1 + mbao.
ndiyo iliyokuwa nia yangu mkuu mimi kama nina milioni 2 tu siwezi kupanga wala kulalamika ujenzi ni mgumu maana watu wanadanganyana sana kuhusu ujenzi, niambie kwani nini nitakujibu.Umeona, ndiyo maana niliomba uweke hapa wazo lako. Halijamsaidia mleta uzi peke yake bali hata mimi binafsi.
Asante sana
Tofali za interlocking ni gharama kuliko unavofikiria wewe zile ni za ghali ukizingatia ni udogo wake
Anaweza akaanza na cha pipa mkuu huku akivuta nguvu.Tatizo gharama za Choo zipo constant, iwe unajenga nyumba ya vyumba 4 au kimoja, mfumo wa Choo unamaliza sana hela
Lakini ukijipanga chumba kimoja kizuri kinajengeka
Pia mimi huwa siwaamini mafundi kwa asilimia zote, anaweza kukwambia hiyo hela inatosha kumbe lengo lake apate kazi, mjengo utakapoishia hapo hapo yeye hana hasara
Sio kweliTofali za interlocking ni gharama kuliko unavofikiria wewe zile ni za ghali ukizingatia ni udogo wake
hapana mkuu mi nataka tu nimsaidie kwenye ujenzi nione na iyo site yake kwa nia njema, kimsingi nyumba ya mil 3 inatosha kuhamia kabisa mfano chumba cha futi 10 kwa 10 kimoja kinagharimu laki 3.5 mpaka lenta kwa tofali na mchanga plus cement sasa nimeona milioni tatu inatosha vyumba viwili na sebule ila hawezi kuweka dirisha kote maana dirisha zuri la security+ aluminium ni laki 3 bati igharimu za milioni 1 + mbao.