The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Great thinkers.
Nimekuwa nikiangalia mtindo wetu wa kuezeka haya mahekalu naona kama unaongeza gharama zisizokuwa za lazima kwa mfano.
1. Nyumba yenye konakona nyingi matokeo yake mbao zinakatwakatwa vipande vingi. Bati nazo zinakatwalatwa sana. Tukumbuke viwandani wanauza bati kwa mita. Sasa vipande unavyokata na kutupa naona ni hasara.
2. Mapaa marefu.kwenda mbinguni hili nalo ni tatizo.kubwa. sawa hela ni yako sikupangii cha kufanya ila hapo unapoteza pesa nyingi kwenye materials bila sababu za msingi wengi wetu tunakimbikia mwonekano
Hivi ni baadhi ya vitu vinapelekea watu wengi waone gharama za ujenzi ni kubwa kupindukia.
.
Nimekuwa nikiangalia mtindo wetu wa kuezeka haya mahekalu naona kama unaongeza gharama zisizokuwa za lazima kwa mfano.
1. Nyumba yenye konakona nyingi matokeo yake mbao zinakatwakatwa vipande vingi. Bati nazo zinakatwalatwa sana. Tukumbuke viwandani wanauza bati kwa mita. Sasa vipande unavyokata na kutupa naona ni hasara.
2. Mapaa marefu.kwenda mbinguni hili nalo ni tatizo.kubwa. sawa hela ni yako sikupangii cha kufanya ila hapo unapoteza pesa nyingi kwenye materials bila sababu za msingi wengi wetu tunakimbikia mwonekano
Hivi ni baadhi ya vitu vinapelekea watu wengi waone gharama za ujenzi ni kubwa kupindukia.
.