Ujenzi wa kukatakata bati na mapaa marefu unaongeza gharama za ujenzi.

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Great thinkers.
Nimekuwa nikiangalia mtindo wetu wa kuezeka haya mahekalu naona kama unaongeza gharama zisizokuwa za lazima kwa mfano.

1. Nyumba yenye konakona nyingi matokeo yake mbao zinakatwakatwa vipande vingi. Bati nazo zinakatwalatwa sana. Tukumbuke viwandani wanauza bati kwa mita. Sasa vipande unavyokata na kutupa naona ni hasara.

2. Mapaa marefu.kwenda mbinguni hili nalo ni tatizo.kubwa. sawa hela ni yako sikupangii cha kufanya ila hapo unapoteza pesa nyingi kwenye materials bila sababu za msingi wengi wetu tunakimbikia mwonekano

Hivi ni baadhi ya vitu vinapelekea watu wengi waone gharama za ujenzi ni kubwa kupindukia.



.
 

Attachments

  • IMG-20241127-WA0043.jpg
    86.3 KB · Views: 12
Kweli,kona nyingi plus mapaa marefu zinahusisha kukatwa sana kwa mabati na kutumia bati nyingi katika ujenzi...
 
Songwe, mapaa marefu ,Yana sababisha nyumba ,kupigwa na radi
 
Kweli,kona nyingi plus mapaa marefu zinahusisha kukatwa sana kwa mabati na kutumia bati nyingi katika ujenzi...
Ujenzi wa siku hizi ni hasara tu maana ukibomoa nyumba huambulii chochote mabati yote ni vipande vipande.
 
Siwezi kujenga nyumba kama darasa
Kenyans wanaotuzidi mengi hushangaa sana mapaa ya Tanzania identity ya kwanza kuwa umeingia Tanzania ukitokea Ethiopia ni mabati yaliyoenda juu ungumbaru mkubwa
 
Kenyans wanaotuzidi mengi hushangaa sana mapaa ya Tanzania identity ya kwanza kuwa umeingia Tanzania ukitokea Ethiopia ni mabati yaliyoenda juu ungumbaru mkubwa
Hata wazungu hawakati katti mabati sana ni kupoteza materials. Na ni uezekaji wenye hasara kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…