Kumetokea nini kwenye sekta ya ujenzi? Ghafla kila kitu kimepanda bei.
Je, kuna uhusiano na ujenzi wa madarasa yanayojengwa kwa kasi kipindi hiki?
Ni vifaa kuadimika kutokana na uhitaji mkubwa wa project hii?
Je, ni watu wameamua kuchezesha ili wapate kitu kwenye bei hizi mpya?
Najua serikali makini itafuatilia. Kwa hizi bei mpya ujenzi wa madarasa utakamilika kwa bajeti ile ile?
NB: Mama kuwa mkali kidogo.
Je, kuna uhusiano na ujenzi wa madarasa yanayojengwa kwa kasi kipindi hiki?
Ni vifaa kuadimika kutokana na uhitaji mkubwa wa project hii?
Je, ni watu wameamua kuchezesha ili wapate kitu kwenye bei hizi mpya?
Najua serikali makini itafuatilia. Kwa hizi bei mpya ujenzi wa madarasa utakamilika kwa bajeti ile ile?
NB: Mama kuwa mkali kidogo.