Geita, Tanzania
View: https://m.youtube.com/watch?v=vUhvYl7Mfww
Wanafunzi saba wa Shule ya Sekondari Businda, wilayani Bukombe wapoteza maisha huku 73 wakijeruhiwa nchini Tanzania
Tukio hilo lilitokea jana Januari 27,2025 baada ya mvua kubwa iliyoambatana na radi kunyesha wilayani humo wakati wanafunzi wa madarasani.
Ujenzi salama unaozingatia viwango vya kukabiliana na radi vinapaswa kufanyika katika shule zote za umma na binafsi.
Mbunge wa Jimbo la Bukombe ambaye pia ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa pole kwa Wananchi wa Wilaya ya Bukombe Mkoani Geita kufuatia ajali ya radi iliyotokea Januari 27, 2025 katika kitongoji cha Shikaliguga kata ya Ushirombo wilayani Bukombe mkoani Geita.
Aidha, Dkt. Biteko ameelekeza Mkuu wa Wilaya ya Bukombe, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri na Ofisi ya Mbunge kufuatilia kwa karibu matibabu ya majeruhi wote na taratibu za mazishi ya wanafunzi hao walioaga dunia.
TOKA MAKTABA :
www.jamiiforums.com
15 Apr 2015 — Na hiyo ndio njia traditional katika ku arrest radi. Kwa effect kubwa zaidi unachimba shimo kama mita moja chini, mita moja upana
View: https://m.youtube.com/watch?v=vUhvYl7Mfww
Wanafunzi saba wa Shule ya Sekondari Businda, wilayani Bukombe wapoteza maisha huku 73 wakijeruhiwa nchini Tanzania
Tukio hilo lilitokea jana Januari 27,2025 baada ya mvua kubwa iliyoambatana na radi kunyesha wilayani humo wakati wanafunzi wa madarasani.
Ujenzi salama unaozingatia viwango vya kukabiliana na radi vinapaswa kufanyika katika shule zote za umma na binafsi.
Mbunge wa Jimbo la Bukombe ambaye pia ni Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa pole kwa Wananchi wa Wilaya ya Bukombe Mkoani Geita kufuatia ajali ya radi iliyotokea Januari 27, 2025 katika kitongoji cha Shikaliguga kata ya Ushirombo wilayani Bukombe mkoani Geita.
Aidha, Dkt. Biteko ameelekeza Mkuu wa Wilaya ya Bukombe, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri na Ofisi ya Mbunge kufuatilia kwa karibu matibabu ya majeruhi wote na taratibu za mazishi ya wanafunzi hao walioaga dunia.
TOKA MAKTABA :
Radi kanda ya Ziwa na Kigoma: Wahandisi, Wilayani mmeshindwa Solution?
Sasa hivi msimu wa masika tunaona jinsi matukio ya radi yanavyozidi kuua wananchi. Si mara ya kwanza kusikia radi imepiga mashuleni na kwingineko na kuua wanafunzi pamoja na walimu.Hili la juzi huko Kigoma ambapo radi imeua wanafunzi sita na mwalimu ni la kusikitisha sana. Na tusipochukua hatua...
15 Apr 2015 — Na hiyo ndio njia traditional katika ku arrest radi. Kwa effect kubwa zaidi unachimba shimo kama mita moja chini, mita moja upana