menny terry
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 509
- 670
Wakuu!
Kila sehemu Tanzania kunakoendelea Na ujenzi mkubwa wa miradi basi utakuta wahusika wakuu wa ujenzi ni kampuni za kigeni. Swali langu kila siku ni kwanini kampuni zetu za ndani haziaminiwi?
Ujenzi huu mzuri hapo chini Kwa clip yangu nao pia ulifanywa Na kampuni ya kigeni ya South Korea Kwa ubora wa hali ya juu. Nadhani tutajivunia sana siku tukizindua miradi mikubwa iliyojengwa Na kampuni za wazawa.
Kila sehemu Tanzania kunakoendelea Na ujenzi mkubwa wa miradi basi utakuta wahusika wakuu wa ujenzi ni kampuni za kigeni. Swali langu kila siku ni kwanini kampuni zetu za ndani haziaminiwi?
Ujenzi huu mzuri hapo chini Kwa clip yangu nao pia ulifanywa Na kampuni ya kigeni ya South Korea Kwa ubora wa hali ya juu. Nadhani tutajivunia sana siku tukizindua miradi mikubwa iliyojengwa Na kampuni za wazawa.