Ujenzi wa nyumba kubwa ya familia kwa Morogoro

Ujenzi wa nyumba kubwa ya familia kwa Morogoro

Habari naomba kujua cemrnts namba 42.5 R camel inaweza toa tofari mingapi?
Mkuu Kama Morogoro tuwasiliane kwa ushauri na n.k kuhusu mada yako.
0753961896

KUMBUKA

UVIMO
Umoja ulio sheheni wataalam mbalimbali wa kada ya ujenzi.

Tunatoa ushauri na kujenga, ukiwa umejiandaa vema tunakukabidhi nyumba ikiwa tayari imeisha.

UVIMO shuguli zetu ni:

1-Kujenga nyumba.
2-Kupiga lipu
3-Kuskim
4-Rangi
5-Bandaring na kufunga bodi
6-Milango ,madirisha na magril
7-Kupaua
8-Kuweka tiles
9-Wayaring za umeme.
10-Chemba za vyoo
11-Kupaua
12-Kuchimba mashimo ya maji na vyoo.
13-KUSHAURI KUHUSU NYUMBA.

Wasiliana nasi kwa
0629361896
0753961896
 
Kama unaweza nunua tofali kwa sasa inchi 6 sh 1100, na inchi 5 sh 1000 kwa bei ya Moro leo.
 
Back
Top Bottom