Ujenzi wa nyumba kwa kutumia chupa za plastic

hamna ni imara sana najua
Mwizi akija anafungua vizibo au anaikata mchanga unamwagika anafanya yake ,au ukiwa na ugomvi na mtu ni kuwasha moto tu ukuta unayeyuka
 
Mwizi akija anafungua vizibo au anaikata mchanga unamwagika anafanya yake ,au ukiwa na ugomvi na mtu ni kuwasha moto tu ukuta unayeyuka
Mkuu wewe utakua unawaza ugomvi tu, au mwizi?, maana m sijawahi kuwaza ugomvi. Inategemeana na mazingira mkuu
 
Ndio huu sisi tunaita ubunifu..!! Au tunajifariji tu na kujustify ufukara wetu, ndo yale yale ya NIT ‘kubuni’ gari la kuchaji.... tuko na safari ndefu huenda hata hatujaianza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…