Ujenzi wa nyumba maeneo ya Vingunguti na nyumba kumeguka tofali

Ujenzi wa nyumba maeneo ya Vingunguti na nyumba kumeguka tofali

log e

Member
Joined
Apr 5, 2018
Posts
24
Reaction score
13
Habari wadau,

Naomba ushauri kuna nyumba ya mzee wangu vingunguti imemeguka meguka sana matofali mpaka sehem zingine ndani zimefanya tobo unaona mpaka ndani nataka nimpe ushauri mzee ni namna gani anaweza kufanya renovation matengenezo kwenye hali hiyo je, afanyeje na kama kuvunja nyumba msingi ajenge vipi naomba ujuzi wadau.
 
MJENGEE MZAZI WAKO MASAKI

MJENGEE MZAZI WAKO MASAKI

MJENGEE MZAZI WAKO MASAKI
 
Kama ni renovation nunua sengenge au waya mesh ijaladie nyumba kisha ndo unaipiga upya ripu.
Kama nguvu ipo piga chini pandisha mtoto wa ghorofa
 
Back
Top Bottom