Morogoro kubwa?Wana JamiiForums,
Naomba ushauri wa hili jambo langu nimejiokoteza kwenye shughuli zangu nikajipatia sh 4million nikaona nianze ujenzi.
Kiwanja ninacho ambacho ni mita 15 Kwa mita 10 nataka kutumia tofali za kuchoma naomba wenye uzoefu wa hizi mambo anipe maelekezo ya hela yangu na kiwanja itafukisha wap hii nyumba au patakua na kasoro bila kusahau nipo Morogoro.
View attachment 2779764
Uligharamika sanaKwa mimi hapa nilianza kwa raman inayotaka kufanana na hio tofali za block msingi tu umekula hela kama hio (4m).
Msingi 4M? kuna maal umepigw 3M inatosha msingi kabsaa nyumba ya 12 kwa 11 m²Kwa mimi hapa nilianza kwa raman inayotaka kufanana na hio tofali za block msingi tu umekula hela kama hio (4m).
hapa saiz ya hii nyumba ukiw na 8M unaipandisha boma lote unasbir kupaua tuWana JamiiForums,
Naomba ushauri wa hili jambo langu nimejiokoteza kwenye shughuli zangu nikajipatia sh 4million nikaona nianze ujenzi.
Kiwanja ninacho ambacho ni mita 15 Kwa mita 10 nataka kutumia tofali za kuchoma naomba wenye uzoefu wa hizi mambo anipe maelekezo ya hela yangu na kiwanja itafukisha wap hii nyumba au patakua na kasoro bila kusahau nipo Morogoro.
View attachment 2779764
Tofal zilienda nyingi sana kwa kua msingi ilibidi upande coz 8. Mkanda na nguzo kila pembe. Nilisimamia mwenyewe.Msingi 4M? kuna maal umepigw 3M inatosha msingi kabsaa nyumba ya 12 kwa 11 m²
hapo kama uliend coz 8 na nguzo za kona hapo upo SAHIHI KABSATofal zilienda nyingi sana kwa kua msingi ilibidi upande coz 8. Mkanda na nguzo kila pembe. Nilisimamia mwenyewe.