Ujenzi wa nyumba vyumba 3 na sebule kijijini

Ujenzi wa nyumba vyumba 3 na sebule kijijini

nyilaegenge

Senior Member
Joined
Apr 13, 2014
Posts
198
Reaction score
105
Hbr ndugu zangu poleni na majukumu.
Mimi ninaomba kwa wale wazoefu wa ujenzi , Nina mpango kujenga nyumba ndogo ya kuanzia maisha yaani nataka kuoa.
Nyumba yenyew ya vyumba vitatu kimoja master na sebule. Kwa mazingira niliyopo ni kijijini kiasi ila building materials kama mchanga, mawe na Maji vinapatikana vizuri. Kiwanja kipo tayari na nimewwka pesa kiasi flani ila nikijua rough estimates basi naweza kujichanga tena ili Mwezi wa kumi nianze ujenzi wa haraka.
Sasa gharama kiasi gani naweza kutumia.
Note : nataka nijenge nyumba ndogo ya kawaida, kikubwa sitaki kuoa nikiwa ktk kupanga hivyo hata mabati yatakuwa ya kawaida tu.
Naombeni msaada wadau.
 
Mkuu kwanza tafuta ramani ndio uanze estimation ndio itakuwa vizuri zaidi kama unahitaji ramani na mambo mengine tuwasiliane
 
Hbr ndugu zangu poleni na majukumu.
Mimi ninaomba kwa wale wazoefu wa ujenzi , Nina mpango kujenga nyumba ndogo ya kuanzia maisha yaani nataka kuoa.
Nyumba yenyew ya vyumba vitatu kimoja master na sebule. Kwa mazingira niliyopo ni kijijini kiasi ila building materials kama mchanga, mawe na Maji vinapatikana vizuri. Kiwanja kipo tayari na nimewwka pesa kiasi flani ila nikijua rough estimates basi naweza kujichanga tena ili Mwezi wa kumi nianze ujenzi wa haraka.
Sasa gharama kiasi gani naweza kutumia.
Note : nataka nijenge nyumba ndogo ya kawaida, kikubwa sitaki kuoa nikiwa ktk kupanga hivyo hata mabati yatakuwa ya kawaida tu.
Naombeni msaada wadau.
Milioni 7 inatosha
 
Ramani ya nyumba,aina na kiasi cha matofari,gharama ya msingi na boma(i.e mchanga,mawe,cement,moram,kokoto,fundi,chakula),mbao na bati kwa upauaji,lipu-floor or marumaru ndani,etc.Fanya Macalculation hapo!!!
 
Mzee unatisha sebule na master kijijini mbona husemi maji umeme upo unasema unaanza maisha huku unataka kuoa duu hueleweki kabisa wewe
 
Ramani ya nyumba,aina na kiasi cha matofari,gharama ya msingi na boma(i.e mchanga,mawe,cement,moram,kokoto,fundi,chakula),mbao na bati kwa upauaji,lipu-floor or marumaru ndani,etc.Fanya Macalculation hapo!!!
Umemjibu sahihi kabisa mkuu,hope you have a bachelor of Building Economics from Ardhi University
 
Mzee unatisha sebule na master kijijini mbona husemi maji umeme upo unasema unaanza maisha huku unataka kuoa duu hueleweki kabisa wewe

Jukwaa la watu wazima na wazoefu wa ujenzi
Watoto kama wew huwezi kuelewa hata kwa lugha rahisi
 
Milioni 7 inatosha

Uko sahihi mkuu; nilimunua boma la matofali ya kuchoma lenye 3 rooms na sebule kwa ajili ya shughuli za shamba kwenye Kijiji kimoja huko Mvomero Morogoro, kwa bei ya TZS 2,000,000. Nikaliongeza 2 rooms ili niweze kuwa na storage ya mazao na farm inputs mpaka nalipauwa na kuweka madirisha na milango nimeshatumia TZS 6,500,000.
 
Back
Top Bottom