Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1.Hatua ya kwanza kapitishe ramani manispaaHabar wapendwa Niko mkoan nilikua naomba ushaur mwez wa Tisa nimepanga kuanza ujenzi wa hiyo nyumba nina 3M.
Nitatumia tofali za kuchoma mwanzo mwisho je nitafikia hatua gan Kwa kiasi hicho Cha hela mfano wa nyumba ni hiyo.
View attachment 2648924
Afi ramani sijaelewa inamaana mtu akiingia sitting room akiangalia kulia anaona choo. Vipi kuhusu harufu ya choo kuja setting room maana sio mbali hapo.Habar wapendwa Niko mkoan nilikua naomba ushaur mwez wa Tisa nimepanga kuanza ujenzi wa hiyo nyumba nina 3M.
Nitatumia tofali za kuchoma mwanzo mwisho je nitafikia hatua gan Kwa kiasi hicho Cha hela mfano wa nyumba ni hiyo.
View attachment 2648924
Hiyo namba 4;1.Hatua ya kwanza kapitishe ramani manispaa
2. Tafuta fundi mzuri wengi ni wababaishaji.
3. Vifaa na kila kitu cha ujenzi nunue wewe na sio fundi.
4. Ujenzi simamia wewe mwenyewe, ili usipigwe.
Afi ramani sijaelewa inamaana mtu akiingia sitting room akiangalia kulia anaona choo. Vipi kuhusu harufu ya choo kuja setting room maana sio mbali hapo.
Kwani choo ni lazima kiwe na harufu? [emoji848]